Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Hadi leo kimya daah nilitumia kama 20k hivi basi waniludshie hela angu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mkoa wa tabora majina yametoka jana usaili utakuwa tar 11 kwa 12Wale wote tulioomba ajira za muda katika Tume Huru ya Uchaguzi kwajili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura huu ni uzi wetu.
Tupeane updates ya majina yatatoka lini?
20k ulitumia kwenye nn? Nauli, chakula, photocopy and printing,passport muhuli kwa mwenyekiti au kipi?Hadi leo kimya daah nilitumia kama 20k hivi basi waniludshie hela angu
Me nataka hela yangu bhna20k ulitumia kwenye nn? Nauli, chakula, photocopy and printing,passport muhuli kwa mwenyekiti au kipi?
yanabandiiwa wapi majina?Kwa mkoa wa tabora majina yametoka jana usaili utakuwa tar 11 kwa 12
Kwenye mbao za matangazo kata zote yalikopandikwa matangazo ya nafasi hizoyanabandiiwa wapi majina?
Utapata zaidi ya hiyo usiwe na harakaMe nataka hela yangu bhna
Bado sana tuliaany update wakuu maana dah
daaah sio poa siku umejisahau utaskia wenzako tayar na washaanza kazBado sana tulia
Muda wowote kutoka sasa zitatokaany update wakuu maana dah
tusizisikilizie bas tuwe active iyo hela tulipie maden ya watu maana sio poaMuda wowote kutoka sasa zitatoka
Mkuu nakuombea ufanikiwe kuipatatusizisikilizie bas tuwe active iyo hela tulipie maden ya watu maana sio poa
Mkoa wa Dar es salaam ni mpaka 2025??Wale wenye sintofahamu tumia ratiba hii kama muongozo kujua majina yatatoka lini eneo ulipo, farehe ya usahili na tarehe ya zoezi.
Mkoa wa Dar es salaam ni mpaka 2025??Wale wenye sintofahamu tumia ratiba hii kama muongozo kujua majina yatatoka lini eneo ulipo, farehe ya usahili na tarehe ya zoezi.