Wale tuliopoteza muda shule kusoma tukutane hapa

Wale tuliopoteza muda shule kusoma tukutane hapa

Inaumiza sana na kuchoma sana ukiwaza muda uliotumia kupambana na elimu, wazazi, jamii na ndugu wakitegemea meng toka kwako.. kuna muda nawazaga pengine mistake yang kubwa ilkua ni kufaulu form 4.. ningefeki form 4 pengne ningekua mbali sana.. umri unaenda, majukumu yanaongeka
 
At the end of the day no one cares
Inaumiza sana na kuchoma sana ukiwaza muda uliotumia kupambana na elimu, wazazi, jamii na ndugu wakitegemea meng toka kwako.. kuna muda nawazaga pengine mistake yang kubwa ilkua ni kufaulu form 4.. ningefeki form 4 pengne ningekua mbali sana.. umri unaenda, majukumu yanaongeka
It's you against life
 
Niliaxh
ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️

Ughonile..

kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.

Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.

Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.

Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana

Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.

All in all all is well

Vipi wenzangu na mie hali ikoj

Mi nilichokosea niliapa kabisa sitafanya kazi yenye mshahara chini ya million 2 kiapo kimenipoza sijui kazi za laki mbili ziliniskia nikiapa
Hahaha 🤣
 
ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️

Ughonile..

kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.

Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.

Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.

Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana

Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.

All in all all is well

Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Aiseee hicho kjj na familia inaonesha nyie n hali mbaya yaan just imagine unategemewa na kijj jitu likiwa 4 kapga HKL alaf uwe mwalim mkuu wa mwenda wazimu school iv hcho kijj kinaonesha kipo gizan sana kinaitaji kikombolewe bdo ipo karne ya zama zamawe za kale
 
Faki you.!!
Aiseee hicho kjj na familia inaonesha nyie n hali mbaya yaan just imagine unategemewa na kijj jitu likiwa 4 kapga HKL alaf uwe mwalim mkuu wa mwenda wazimu school iv hcho kijj kinaonesha kipo gizan sana kinaitaji kikombolewe bdo ipo karne ya zama zamawe za kale
 
Niliacha shule nikiwa darasa la 5 baada ya kugundua shule inapoteza muda nikaanza kufanya kazi nikiwa bado mdogo marafiki zangu waliokuwa wanaendelea na shule waliniona kama mjinga na wakanicheka kwa sasa mimi ni tajiri nawazidi mbali nina magari nina nyumba nina biashara kibao wao wana maisha ya ovyo tu hawaamini hata wale waliokuwa wanajidai wanashika namba moja wana maisha ya chini sana,niligundua ajira zina mishahara midogo mtu kutajirika kwa ajira ni vigumu hata akitajirika anakuwa na utajiri mdogo sana,ni bora uongee kisukuma ila una pesa chafu kabisa kuliko unaongea kiingereza halafu pesa huna akaunti ina laki 5 tu! Niligundua pia elimu ni ujuzi tu unasoma ili ujue kusoma na kuandika basi maisha yanaenda kuliko unasoma mpaka unakuwa baba mzima halafu uanze kulipwa laki 5 kwa mwezi! Hiyo pesa ya vocha
 
Niliacha shule nikiwa darasa la 5 baada ya kugundua shule inapoteza muda nikaanza kufanya kazi nikiwa bado mdogo marafiki zangu waliokuwa wanaendelea na shule waliniona kama mjinga na wakanicheka kwa sasa mimi ni tajiri nawazidi mbali nina magari nina nyumba nina biashara kibao wao wana maisha ya ovyo tu hawaamini hata wale waliokuwa wanajidai wanashika namba moja wana maisha ya chini sana,niligundua ajira zina mishahara midogo mtu kutajirika kwa ajira ni vigumu hata akitajirika anakuwa na utajiri mdogo sana,ni bora uongee kisukuma ila una pesa chafu kabisa kuliko unaongea kiingereza halafu pesa huna akaunti ina laki 5 tu! Niligundua pia elimu ni ujuzi tu unasoma ili ujue kusoma na kuandika basi maisha yanaenda kuliko unasoma mpaka unakuwa baba mzima halafu uanze kulipwa laki 5 kwa mwezi! Hiyo pesa ya vocha
Upo sahihi sana mkuu, umeandika kama Professor
 
My friend, kuna darasa la saba kibao wako more financially stable kuliko maprofesa wengi hapa nchini so sijui unaongelea maarifa yapi.

Binafsi nafanya mitikasi yangu kariakoo, %kubwa ya wapemba, wakinga na wachaga ambao wanamiliki biashara kubwa hapa Kariakoo walikimbia shule.

What's the point of regarding yourself as educated person with different honors while you got nothing in the Bank man?

Which knowledge are you talking about specifically?

Mwambie akutajie jina la professor yoyote Tanzania. Anaemzidi pesa Kishimba ambaye ni darasa la saba
 
ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️

Ughonile..

kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.

Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.

Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.

Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana

Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.

All in all all is well

Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Wenye elimu zetu kubwa tuko huku tumekamata wizara tutajirikia kodi zenu nyie la saba endeeleni kufanya biashara
 
Kishimba is way too far, mimi tu hapa hela nayoingiza kwa siku am sure hakuna professor anafikia labda awe mwizi
Kwani ni watu wangapi ambao sio la saba ni Masters na PhD holders ni matajiri kama kishimba? Watu mkishindwa shule mnakimbilia ohh tuna hela tumetajirika, nani aliwaambia hakuna wasomi waliotajirika kupitia elimu zao? Nani kawaambia wasomi hawana hela? Wasomi 10 sijui 20 uliowaona mtaani kwenu wanatosha kusemea wasomi wote? Vipi ambao darasani walifeli na mtaani wanapigwa na maisha?
 
Kunywa maji mengi mkuu
Kwani ni watu wangapi ambao sio la saba ni Masters na PhD holders ni matajiri kama kishimba? Watu mkishindwa shule mnakimbilia ohh tuna hela tumetajirika, nani aliwaambia hakuna wasomi waliotajirika kupitia elimu zao? Nani kawaambia wasomi hawana hela? Wasomi 10 sijui 20 uliowaona mtaani kwenu wanatosha kusemea wasomi wote? Vipi ambao darasani walifeli na mtaani wanapigwa na maisha?
 
Back
Top Bottom