MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
- #81
Good dayNdio shule ilipoanzia hapo?
Ndio wazazi wako walipoanza kukusomesha hapo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good dayNdio shule ilipoanzia hapo?
Ndio wazazi wako walipoanza kukusomesha hapo??
Mkuu nimejiajiri since 2022 hadi saiv nipo nakula airtime kilaini kabisa ingawa bado sijafikiria kununua usafiri sababu jamaa zangu wa karibu wanaonizunguka kwa sasa wanao so sioni shida kuazima. Muda ukifika ntanunuaKama ulichosomea unaona huna faida nacho, kwanini usisomee kitu kingine ambacho utakuwa na manufaa nacho?
Unamkuta mtu kakata tamaa kabisa na hajui kama yuko depressed
Kama una hela ya kozi nyingine bora kusomea hata bwana mifugo at least utajiajiri baadae
Kwa kweli maisha ni fumbo hujui ya kesho ila tupambane sana
Sasa boss ukienda kijijini na gari la kuazima na suti wakikuuliza million
Hauko sawa kiakiliSijafungua uzi kwa lengo la kujilinganisha kimaisha na mtu ila kwa wanaonijua humu wanajua nilipo kimaisha. Thanks anyway
Hatusomi ili tuajiriwe ni ili tuelimike Kwani ni wapi shuleni watu wamekatazwa wasijiajiri au ni wapi kwenye elimu kujiajiri ni plan bMkuu nimejiajiri since 2022 hadi saiv nipo nakula airtime kilaini kabisa ingawa bado sijafikiria kununua usafiri sababu jamaa zangu wa karibu wanaonizunguka kwa sasa wanao so sioni shida kuazima.
Kama umenielewa vizuri ni kwamba najutia kupoteza muda A-level na Chuo, hakukuwa na haja ya kupita kwenye izo level ukizingatia lengo langu la kusoma ilikua nije kuwa CJ katika siku za usoni. Hii kujiajiri ni Plan B ambayo imetokea tu pasipo kutegemea.
ivi vyeti sioni kazi yake kwa sasa kuna muda natamani kuvichoma
Nimekuelewa vizuri sana kwa ufafanuzi huu, ila hakuna anaejua ya keshoMkuu nimejiajiri since 2022 hadi saiv nipo nakula airtime kilaini kabisa ingawa bado sijafikiria kununua usafiri sababu jamaa zangu wa karibu wanaonizunguka kwa sasa wanao so sioni shida kuazima.
Kama umenielewa vizuri ni kwamba najutia kupoteza muda A-level na Chuo, hakukuwa na haja ya kupita kwenye izo level ukizingatia lengo langu la kusoma ilikua nije kuwa CJ katika siku za usoni. Hii kujiajiri ni Plan B ambayo imetokea tu pasipo kutegemea.
ivi vyeti sioni kazi yake kwa sasa kuna muda natamani kuvichoma
Elimu haiozi kamanda..ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️
Ughonile..
kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.
Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.
Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.
Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana
Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.
All in all all is well
Vipi wenzangu na mie hali ikoje
We ni kichwapanzi sio? Huezi ata kutofautisha kati ya elimu unayoiongelea na elimu ya Bongo?Hauko sawa kiakili
Simu unayotumia imetokana na watu kuwekeza kwenye research na sio hiyo gari, nguo unazovaa, tv unayoangalia zote hizo ni matokeo ya elimu sasa unavyosema elimu haina faida ni kituko kwa kweli
Kwani physics, biology, chemistry au acountant unayosoma hapa Tanzania inatofauti gani na ya marekani sana sana walichokuzid ni practical lakin content ni zilezileWe ni kichwapanzi sio? Huezi ata kutofautisha kati ya elimu unayoiongelea na elimu ya Bongo?
SawasawaKwani physics, biology, chemistry au acountant unayosoma hapa Tanzania inatofauti gani na ya marekani sana sana walichokuzid ni practical lakin content ni zilezile
Kwa masomo mengi kuanzia A level na kuendelea vitabu vinavyotumika vingi ni vya wazungu alafu wanakuja wahindi.Sawasawa
Acha kisomesha kama kunapoteza muda ikiwa unasomeshaANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️
Ughonile..
kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.
Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.
Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.
Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana
Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.
All in all all is well
Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Sasa si ndo pesa inakuja ukiwa na maarifa otherwise kama huioni manake huna maarifa na wazazi walitumia pesa upate maarifa ambayo yatakupa pesa badili maarifa kuwa pesaMaarifa bila pesa? Come on.!!
Mnatakiwa kuelewa maudhui ya madaHauko sawa kiakili
Simu unayotumia imetokana na watu kuwekeza kwenye research na sio hiyo gari, nguo unazovaa, tv unayoangalia zote hizo ni matokeo ya elimu sasa unavyosema elimu haina faida ni kituko kwa kweli
Maisha hayana elimu hakupa sehemu utakwenda kwenye kusoma maisha maisha ni fumbo gumu sana maisha ni kumtanguliza mungu na kufanya kazi na kwa maarifa Cha muhimu kama ni mtoto Haina haja ya kumsomesha sijui awe na PhD au awe sijui dokta asome kawaida aanze kupambana na maisha na ukiangalia asilimia kubwa waliofanikiwa wengi hawana elimuAu wangenywea pombe
Ndio mana unaofa excess labourers!Mfumo mzima wa elimu upo kuandaa cheap labours.
Ukikutana na watu wamekaa ajirani yupo 2nd floor somewhere hapo town na mawani yake anachezea computer chini ame-park Subaru au Vanguard ya mkopo ukimwambia Tanzania hii elimu haimsaidii yeyote hata akisema atoke nje ya alichosomea atumie akili ya darasani kujaribu kwingine atashindwa hawezi akakuelewa.So Sorry, sijaelewa umeandika nini