Wale tuliopoteza muda shule kusoma tukutane hapa

Wale tuliopoteza muda shule kusoma tukutane hapa

Sijawahi kuipenda shule wala elimu, sijawahi kuwa serious na shule wala elimu na kwa bahati nzuri sijawahi kufeli chekechea mpaka chuo kikuu. Mimi nilisoma civil engineering kwa shinikizo tu la wazazi na kwakuwa nilikuwa very bright class nikafaulu na baada ya kumaliza chuo vyeti nimevifungia kabatini napiga mbanga nyingine nashukuru elimu imeniongezea ufahamu na maarifa.
 
Pesa ni namna utakavyotumia hayo maarifa kuzitafuta. Ila hoja ya msingi jua, lengo la shule sio kupata fedha, bali maarifa. Ukitaka kufanya jambo ambalo linakupa fedha ya moja kwa moja kachimbe madini.
My friend, kuna darasa la saba kibao wako more financially stable kuliko maprofesa wengi hapa nchini so sijui unaongelea maarifa yapi.

Binafsi nafanya mitikasi yangu kariakoo, %kubwa ya wapemba, wakinga na wachaga ambao wanamiliki biashara kubwa hapa Kariakoo walikimbia shule.

What's the point of regarding yourself as educated person with different honors while you got nothing in the Bank man?

Which knowledge are you talking about specifically?
 
ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️

Ughonile..

kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.

Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.

Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.

Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana

Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.

All in all all is well

Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Walimu ndio kundi la watu waliopoteza muda shuleni. Nasubir kupigwa mawe
 
Huu ufafanuzi ndio umenisaidia zaidi hoja yangu kuwa lengo la shule sio kupata fedha au ajira.
My friend, kuna darasa la saba kibao wako more financially stable kuliko maprofesa wengi hapa nchini so sijui unaongelea maarifa yapi.

Binafsi nafanya mitikasi yangu kariakoo, %kubwa ya wapemba, wakinga na wachaga ambao wanamiliki biashara kubwa hapa Kariakoo walikimbia shule.

What's the point of regarding yourself as educated person with different honors while you got nothing in the Bank man?

Which knowledge are you talking about specifically?
 
ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️

Ughonile..

kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.

Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.

Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.

Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana

Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.

All in all all is well

Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Kwa upande wangu elimu imenisaidia vitu vingi
1.wakati Niko Chuo niliweza kudate wasomi na wasio wasomi Nikaweza kupata hints kidogo (ya utofauti wao) so now ni choice yangu aidha nioe msomi au nioe msomiless
2.Nikajifunza namna ya kuishi na wapangaji wenzangu wa rika tofauti tofauti
3.Namna ya kujibu kwa hoja Bila kukurupuka
4.Exposure ya biashara na fursa japo mchawi mtaji(nimeweza kujifunza pia kuwa ni namna gani mtu anaweza toboa akiwa mbali na home)
5.Huwezi kusainishwa mikataba ya kiboya kirahisi rahisi na kutumika hovyo maana unakuwa na critical thinking

6.mwisho kupata kazi ni majaaliwa kufanya biashara pia yataka moyo
 
ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️

Ughonile..

kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.

Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.

Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.

Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana

Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.

All in all all is well

Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Muda unaotumia kusoma na kujifunza huwa haupotei bure kuna kitu bora umeweka kichwani na unatofauti kubwa sana na mtu alikoswa Elimu. Kinacholeta utofauti kwenye kufikiri elimu haina tija ni kusoma ajili ya ajira badala ya kusomea maarifa na pesa. Elimu ni nguzo kubwa kwenye utambuzi wa mwanadamu na egemeo la fikira, ujuzi na maarifa, Elimu ni siraha inayozuia ujinga ukutenga na kutokujua na kukujaza ufahamu na kuweka umbo zuri la akili.

Soma, somea maarifa ya kujitambua na kuwa mjuzi mwenye kufikiri ili kujijenga kutoa suluhu na sio lawama.
 
Kbongo bongo elimu yetu haifundishi namna ya kutafuta pesa!na hilo ndio muhimu kitaa!!
Una uhakika??,unataka kusema Vyuoni watu hawasomi Business au Economics au Finance???
Na sio kila moja katika hii dunia some course za ku generate pesa,kuna wengine kazi zao ni katika kusaidia Jamii kama Madaktari,Walimu,Askari n.k
 
ANGALIZO: Huu uzi hauwahusu wale ambao bado wapo kwenye industry ya Elimu bali ni kwa wale waliokwishatoka nje ya Game tu ⚠️

Ughonile..

kuna muda nikiwa idle nakumbuka muda niliopoteza shule kusoma hususani kuanzia A-Level na University naishiwa nguvu, nikitazama vyeti vyangu, nikiangalia picha nilizopiga maeneo tofauti tofauti enzi nasoma sometimes najutia sana.

Kutoboa kupitia Elimu ya Bongo ni ngumu sana either kwa kuajiriwa au kujiajiri kupitia iyo elimu uliyoisotea miaka yote iyo takriban zaidi ya miaka 15 ni kizungumkuti.

Hata ikitokea umeajiriwa na hiyo elimu yako kutoboa bado ni ngumu unless uwe mtu wa kupiga danadana huko kazini kwako or else uridhike tu na huo mshahara unaokuwezesha kumudu kujenga na kununua kiusafiri chako ingawa still usipoingia Bank/microfinance kukopa pia bado ni mtiani.
nikiangaliaga ivi vyeti vinanifikirisha sana ukizingatia nilivipata kwa tabu sana. Mtaani kwetu na familia kwa ujumla waliwekeza sana kwangu na walikua na matumaini makubwa sana namimi pengine ningekuja kuwa mtu mkubwa sana hapa nchini kutokana na juhudi nilizokuanazo katika kusoma.

Good thing ni kwamba baada tu ya kugraduate chuo niliweza kufikiria nje ya box na mpaka hapa nilipo namshukuru Mungu, sipati picha ningeuface vipi mtaa na jamaa zangu pindi ambapo ningekua naenda kuwatembelea ilhali sieleweki kisa ajira hamna! Inafikirisha sana

Saivi nikienda kijijini nishajiwekea utaratibu nahakikisha niko full equipped (tai ndefu, ndinga japo ya kuazima na vibunda vya kutosha) sifanyi kwa sifa bali nafanya ili wajivunie kijana waliekuwa wamewekeza kwake hajawaangusha na kutowakatisha tamaa ya kusoma wadogo zangu mtaani.

All in all all is well

Vipi wenzangu na mie hali ikoje
Umuhimu wa ELIMU ni mkubwa mno mtu mwenye elimu na asiye na elimu ni mbingu na ardhi...

Elimu itakupa kila kitu hata Kama hauto ajiriwa popote

ELIMU itakuweka HURU na hauto kua na EXCUSES kujilaumu kua hukusomaa

NB.
Elimu ni kile kinacho BAKIA KICHWANI BAADA YA KUMALIZA KUJIFUNZA 🎓

ELIMU ni kujikomboa kifikra na kuya tawala Maisha yako na mazingira yako..
 
Back
Top Bottom