Kuvaa chupi mbichi.Pumbu erosion kwa kiasi kikubwa ilikuwa inasababishwa na uchafu kwa kutokuoga muda mrefu na kuvaliana nguo. Pumbu zilikuwa zinatoa unga kama uko mashineni.
Joto. Mzumbe ilikuwa September hadi November. Zilitesa sana.Tuliosoma ukanda wa baridi naona hili halikutukuta. Naona wengi mliosoma maeneo ya joto ndo iliwakuta. Kitaalamu inasababshwa na nini?
Vipi jovitha?[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiloooo
ShwariVipi jovitha?
Pugu ndo mwisho wa matatizo,hakuna shule itayemfikia puguIla funga kazi pugu
mkuu chama langu hilo kitambo sanaGalanos hiyo kitu ilitusumbua sana
Hii ni kweli maana sisi tulikuwa tunatumia maji ya chumvi boarding. Pumbu inakuwa red halafu inawasha Sana. Wakati wa joto ndio balaa.Alafu ile iansababishwa na maji ua chumvi pumbu linaliwa ngozi yote linakuwa kama mtoto wa panya mwenye siku mbili. Mademu walikuwa wanajikuna kinoma anajidai kama anachomekea shati anajikuna fasta anakausha