Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes ni pazuri mnooo,,,,kwa kipindi cha kiangazi utaomba trip irudiweeeeeIle location ukipiga picha zinakuwa nzuri sana...ila panahitaji maboresho zaidi
Wacheki hawa jamaa Mantis Lodge nililala hapo na familia ilikuwa bei ya kizalendo kabisaKweli mkuu mimi nataka mwezi wa 12 niende mikumi na familia
Usd 90Per one night kulala ni ngapi na chakula how much.
Sema mie Nina mpango nikazuru Rwanda unafanya sex tourism.
Mana wale wadada wa kagame nikiwaonaga kwa mtandaoni mie nakuwa hoi Sana.
Sehemu nzuri ya kupumzika kwa wasiopenda vurugu na kuthamini nature.Wow. Safi sana. Naelekea huko wiki 2 zijazo, nitafika hapo mahali
Picha?Kinukamori Marangu mtoni Moshi ...very cheap and affordable to everyone na uta enjoy...tatizo ni ya day trip tu utaogelea na kufurahia maisha
hata huku kijijini kwetu mambo ni motooooo
Unabeba huku huku unaenda naye.Tatizo Dubai hamnaga Dada zetu wa maana
Bagamoyo loland park room 50000/- ni pazur Sana ukiwa na kimwana, jioni utachukua tax sh 3000/- akupeleke baharini ukapunge upepo...chakula mtaanai ni cheap 3000-4000/- samaki na wali, nk.Huu uzi ni mzuri sana ila ningeomba kidogo ambao wamefika hizo sehemu wangetusaidia kidogo kuweka na gharama za hizo sehemu ingetusaidia kuweza kujipambanua kwakweli. Natanguliza shukrani.
Hvi lushoto Kuna logde za Bei rafik mtu akaspend ata 3 days hvLushoto kama unapenda kupumzika
OkWacheki hawa jamaa Mantis Lodge nililala hapo na familia ilikuwa bei ya kizalendo kabisa
Unapita njia ipi ya Muze au Ilemba?Maleza ziwa Rukwa kuna Saza falls, ila joto la huko ni kama Dar
Kule juu kwenye utulivu kwa kweli bei sio rafikiHvi lushoto Kuna logde za Bei rafik mtu akaspend ata 3 days hv
Visa, return ticket ya ndege na hoteli kwa maajabu yapi?Unabeba huku huku unaenda naye.
Weka namba Mkuu Kuna demu nataka nikampe mambo huko huko Bagamoyo.Bagamoyo loland park room 50000/- ni pazur Sana ukiwa na kimwana, jioni utachukua tax sh 3000/- akupeleke baharini ukapunge upepo...chakula mtaanai ni cheap 3000-4000/- samaki na wali, nk.
Weekend nenda dunda dunda park bend safi na mziki mzur.
Local beers 1500-2500/-
Msafiri lodge 30000-35000/ room
Ukiona so maeneo ya mji nenda kwa tax 3000 palace hotel kaole road...huko Bahar hiyo hapo upenuni kipupwe safi. Ni pazur na family
Kwa msaada Zaid google site za bagamoyo
Nilikwenda nje mji kuna mapolomoko ya maji usiku kuna miale ya taa aysee Mungu ana rehema nyingi sana..
Nikapita Blue lagoon nilishinda siku nzima, Nilibahatika kukutana na Bosi mkuu wa UN...
[/QUOTE
Tafadhali mkuu naomba uweke picha.
Sawa mkuuPicha nyingi niko na Familia.. Katiba ya JF picha ukiwa na familia ikaja kutuma sivyo wewe na lako..