Sio Nyemenehi ni Nyamanohi hahahahaaHa ha ha ha
siku hiyo nilikuwepo mkuu.
Ila japo jamaa alikuwa anaiba kweli ila tulimdhalilisha sana yule mzee.
Haiwezekani kwa kujituma kote kule tumdhalilishe vile, sema basi tena mambo ya mob psychology.
Siku hizi kastaafu tayari.
Unamkumbuka yule mpishi form one??
Unamkumbuka Bandhiho??
Unamkumbuka mnyama Nyemenohi, mzee wa kitambi kikubwa mpaka kinataka kugusa chini??
Unamkumbuka ticha scorpion??
Mwalimu Begenyezaa likuwa na macho mekundu fulani hivi anafundisha kozi za Civil Engineering hasa hasa Brickwork.Mwalimu nani pale Musoma Tech? Maana kuna mwalimu Muganyizi baadae akarudi Boys na kustaafia pale.
Amejenga jirani na shule kuke kijijini!
Pia Chigugu mnamkumbuka? Hahahaaa Bwiru Boys hatari sana!
Nilienda pale miaka ya 2000 katikati nikamkuta mkuu mpya anaitwa Kisuu, Mnyaturu flani, tukabadilishana namba jioni tukakutana SPAROW maeneo ya Ghana kula kilaji!
Aisee anazimeza sana. Ni mtu poa sana!
Dah nimepamisi Mwanza for real!
Nyemenohi alikua na tabia mbaya sana, akikuta mmekaa mnapiga stori anapita nyumna kimyakimya. Akishawavuka tu anawauliza kwanini hamjamsalimia hapo mtachezea stick za kutosha.Sio Nyemenehi ni Nyamanohi hahahahaa
Amefariki mwaka Juzi bwana!Ha ha ha ha
Mwalimu Ruhiye huyo, jina lake la utani lilikuwa Toxic.
Alishafariki kitambo sana aiseee
Nyamanohi??Sio Nyemenehi ni Nyamanohi hahahahaa
YapAmefariki mwaka Juzi bwana!
Akikudaka lazima ukachimbe uwanja kuupanua kule walikokuwa wanakaa washangiliaji...Nyemenohi alikua na tabia mbaya sana, akikuta mmekaa mnapiga stori anapita nyumna kimyakimya. Akishawavuka tu anawauliza kwanini hamjamsalimia hapo mtachezea stick za kutosha.
He he he heWewe ulikuwa mwaka mmoja na genious Eng Mwesi Felician [emoji12]
Una bahati wengi wamelala sasa hivi.Hahahahaha! Kwema?
Na wewe ulipitia Bwiru mkuu??Safi kabisa, mambo vipi?
Wataupitia huu uzi wataona, na hivi kesho ni wikiendiUna bahati wengi wamelala sasa hivi.
Wakigundua mmende uko hapa watakusumbua PM mpaka ulie
Ha ha ha haPumbavu sana hahahahaaaa umenikumbusha class 1999 njooni hapa twende Boys! Hahaha
Aaaah wapi...Una bahati wengi wamelala sasa hivi.
Wakigundua mmende uko hapa watakusumbua PM mpaka ulie
YeahWataupitia huu uzi wataona, na hivi kesho ni wikiendi
Mzee chigugu hahahaha...kisuu alipiga pesa akahamishiwa kashule ka kata kanaitwa Buigiri kapo chamwino dodoma, akaenda akahonga zile pesa akapelekwa nadhani Tosamaganga kule iringa, akastaafu saa hii anakula.pensheni yake kajenga na anaishi Moshi. Mtoto wake mkubwa Sarah alikuwa rafimi yangu mzuri tuYap
Alipiga hela ndefu sana pale.
Kuna yule mjepu alikuwa anafundisha plumbing, alitoa Milioni 50 za kujenga mabweni.
Kisuu akazinywa, akatumia kama milioni 8 hivi akamiksi na matofali yetu ya adhabu akasimamisha library na mabweni.
Unaikumbuka katara??
Unamkumbuka Chigugu??
He he heAaaah wapi...
YapHapo walikuwa kwenye boti kuelekea Saanane Island?
Saa Nane hio...Eti Bilionea mlikuwa mwaelekea wapi huko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Asigwa bwana.He he he
Sasa unabisha??
Ule uoga wako wa kupanda daladala ukiwakuta wa Boys wamo kwenye daladala na wewe uko peke yako ushauacha??
Kisuu nilikutana naye mwaka 2013 Iringa, tulikutana hotelini. Lakini nilimuona kama kawa kilema kidogoMzee chigugu hahahaha...kisuu alipiga pesa akahamishiwa kashule ka kata kanaitwa Buigiri kapo chamwino dodoma, akaenda akahonga zile pesa akapelekwa nadhani Tosamaganga kule iringa, akastaafu saa hii anakula.pensheni yake kajenga na anaishi Moshi. Mtoto wake mkubwa Sarah alikuwa rafimi yangu mzuri tu