Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Sio Nyemenehi ni Nyamanohi hahahahaaHa ha ha ha
siku hiyo nilikuwepo mkuu.
Ila japo jamaa alikuwa anaiba kweli ila tulimdhalilisha sana yule mzee.
Haiwezekani kwa kujituma kote kule tumdhalilishe vile, sema basi tena mambo ya mob psychology.
Siku hizi kastaafu tayari.
Unamkumbuka yule mpishi form one??
Unamkumbuka Bandhiho??
Unamkumbuka mnyama Nyemenohi, mzee wa kitambi kikubwa mpaka kinataka kugusa chini??
Unamkumbuka ticha scorpion??