Kama ni mfuatiliaji wa evolution ya wachezaji hauwezi kuibeza Arsenal hata kidogoArsenal hamna kitu
Umefeli mapema xna mkulu!
Watoe man city na liver hapo timu mbovu izo acha mahaba1- Man City
2- Liverpool
3- Tottenham Hotspur
4- Arsenal
N.B Man Utd watakuwa wa 7/8!
Unawazimu wee, nimtoe kwa kipi? Yaan totte na arsenal zimzidi Chelsea? Hauko seriousChelsea mtoe hapo
Namshangaa hapa na mie, khaaahJamaa analeta chuki badala ya hoja ana nishangaza sana