Wale waliofufuliwa walipata kusema nini huko walikokuwa?

Wale waliofufuliwa walipata kusema nini huko walikokuwa?

JESUS IS FAKE, ALSO HIS MIRACLE WAS FAKE TOO,COZ HE NEVER EXISTED IN REALLY HISTORY
Yaa ni kwl ukiwa na akil lazma uhojii huyo wanayemuita yesu alikuwa wapi?? kwann awe mweupe wakat hlo eneo la palestina ya leo lilikaliwa na mtu mweus kwa zaid ya miaka7000 kabla hata mzungu na mwarabu hajajua kujichamba wala kuvaa chupi,,huyo wanaemuita yesu ama jesus hana historia yoyote hapa dunian.tafuta kitabu chochote cha kihistoria hutoona ushahid wa kuwako mtu mweupe aliyesurubiwa hapo palestina a.k.a israel feki,,bal miaka ya 300 hiv AD naposema AD maana yake nikwa mujibu wa warumu karenda iliyoanza kuhesabiwa kuanzia kutengenezwa kwa kristo fek yesu miaka ya 2000 iliyopita,,sasa bas mwaka huo wa300 jumuiya za awa mabwana wakaitana ktk mkutano wa nincea uku lengo likiwa ni kubadir jina la ZEUS AMA ZEZUS na kulificha kwa kubadr heruf ya mwanzo ya Z' na kuweka J' ili kumfanya zeus aendelee kuabudiwa ndipo wakaleta JESUS..huyu ndie wakristo wavivu wa kusoma wanadai ndye yule mwan wa Mungu,,sikatai mwana wa Mungu nikwel aliwahi kujaa zamaani sana hata kabla ya uyo zeus wenu kuwepo, na huyu christo wa kwel alikuwa mtu mweusi toka Afrika na huyu anayo historia kuanzia ktk vtabu mpka nakala za biblia ya kwel ambayo haija editiwa na awo wajinga....muulizen papa wenu kwann walitoa baaz ya vitabu ktk biblia?? kwann biblia inakataza kuongeza ama kupunguza neno lolote lakn wao wanafanya hivyo??? [emoji23]
....ukwel mchungu jina la yesu ama jesus haliwez kukupa ufalme wa Mbingu maana ni pepo[emoji58] ambalo ukilitii kwa kuamn lazma utapona tena linanguv hata yakuondoa mapepo wenzake,.ili kuwa badaa wafuasi wake...
...I'M NOT BELIEVING JESUS,WHATEVER IS YESU IN SWAHIL OR ZEUS BY ORIGINAL NAME I DON'T CARE BCOZ HE NEVER EVER EXISTED....jesus is the most terrorist in the world
....SASA unatakiwa ujue kuwa kuna vifo aina 2 yaani kifo feki na original, kifo feki ni kupoteza nafsi mwilin kabla ya kufikisha umri sahh uliopangiwa na Muumba na kifo original ni kile ambacho mtu hufa yaan nafs na roho hutoweka mwilin baada ya umr sahh na kutimiza mission uliyoitiwa hapa dunian, so mtu akifa kifo OG hawez fufuliwa hata ukeshe unaomba,lkn kifo feki, mtu anaweza ,fufuliwa kama mwil wake haujaaribika, maana nafsi yake inakuwa bado iko duniana ikitanga tanga ama kama aliuwawa kichaw na kupelekwa usukulen anaweza rudishwa nafsi yake ktk mwl kuptia njia mbalimbali, na ujue kuw hakuna jehanamu wala pepo, mtu anapokufa anakuwa katoweka ktk limwengu zote,nikimaanisha limwengu ya mwl,nafs,na roho, na kupelekwa mahala ambako atakuwa mkiwa mpka sku ya hukumu, hiyo jehanam na pepo ni fake imagination zilizotungwa na shetan kuulaghai ulimwengu, na mara nying hutumiwa kw wale wanaosema walikufa na kufufuka sjui walikwenda mbingun na kuzim na kuuona moto mkubwa,jua kuwa ule moto na mbingu, ni fake ambayo imeundwa na shetan mwenyew kuwadanganya wanadamu, mpk sasa hakuna alie moton wala alie mbingun, acheni stor zakipuuz, anaejiona mjuaj wa maandiko aje anipinge tutapingana kwa maandiko na ushahidi tu...View attachment 1852272
Aisee
 
Kazi ya ya Bwana Yesu haikuwa kuwahoji wale aliwafufua bali kuonyesha UWEZO WA MUNGU juu ya viumbe na maumbile aliyoumba.

Swali hili lingefaa lielekezwe kwa walikuwapo kama Masadukayo, Mafarisayo na Wengine waliokuwapo.

Kwa sasa tusubilie amri kiama au atakapokuja imam Mahadi naam atakapokuja Yesu ktk Utukufu wake.
Umeelewa lakini,!!? point sio lazaro na Bwana Yesu peke yao , wao wote walifufuliwa
 
Swali langu kuna sehemu Lazaro ameongea na kunukuliwa kabla ya kufa???.

Tuanzie ha
😅😅🤣Daah kwani mlengo wa Nyuzi unataka nini ??ndo maana nmeuliza umesoma mpaka mwisho au umekomaa na histori ya Lazaro bila kutanabahi mlengo wa mkeka??
 
Wasaalaam

View attachment 1850356

Katika dini hizi kuu (Abrahamic) hakuna pande yoyote inayokataa uwepo wa Mtoto wa Mariamu Yesu wa Nazareth , historia na hadithi za maisha za Yesu/Issa zipo katika upande wa Dini kuu mbili hizi Uislam na Ukristo.

Maelezo Juu ya Bwana huyu Katika pande hizo mbili yana kiwango chake yanachofanana na mambo mengine kadhaa wa kadhaa hayashabihiani.

Katika Uislam pia Yesu anatambulika kama Mtume wa Mwenyezimungu ambaye alipewa , neno kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa Waja wa huyo M/Mungu.

Tunajifunza juu ya bwana huyu kwenye Biblia,Qur'an kwenye Sayansi na Hata katika Historia juu ya Bwana huyu ambaye alipewa Ishara ambazo hata Manabii na mitume wengine Hawakupata (kuponya wagonjwa, kufufua wafu N.K)

ikumbukwe si Biblia tu iaminiyo juu ya Miujiza ya Bwana Yesu

Qur'an
inadokeza pia,

2:87

Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Issa, mwana wa Mariamu, Ishara(miujiza) zilizo waziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu. Basi kila walipo kufikieni Mitume kwa yale ambayo hayapendwi na nafsi zenu, mlijivuna; wengine mkawakanusha, na wengine mkawauwa.


Lakini kuwa na miujiza kwa wajumbe wa Mwenyezimungu ni jambo la kawaida ili waumini wapate kuamini kupitia kwayo.

Mlengo wa nyuzi hii ulijikita kwa Huyu bwana Yesu ambae alikuwa na Miujiza mikubwa na ya kipekee, na Hapa swali linajikita kwenye Hili la kufufua wafu.

Ni dhahiri Bwana Yesu hakufufua mfu mmoja , bali ni wengi sana lakini kipo kisa maarufu cha Lazaro , ambacho Injili ya Yohanna pekee imekielezea hichi kisa kwa Upana kidogo. Nami nitapenda nikitumie kisa hicho.

Yohana 11:41

Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia
.

42

Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

43

Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

44

Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.

Hapo anaelezewa Lazaro alipotolewa katika Wafu na Bwana Yesu

SWALI KUU HAPA NI KWAMBA

NINI MREJESHO WALIOKUJA NAO WAFU WALIOFUFULIWA , HUKO WALIKOKUWA?

Ukiachana na mafunzo tuyapatayo juu ya Uwepo wa M/Mungu na Kupitia miujiza kama hiyo.

Haijaandikwa katika histori hiyo kama ilivyoandikwa na mwandishi wa injili hiyo.
Ni wazi kwa mwandishi ilikuwa kwamba ni muhimu katika Histori hii.??

Histori inatuonyesha kwamba Wayahudi wengi walikuwa na mawazo tofauti juu ya ufufuo huo, Injili hii Iliandikwa yapata miaka sabini baada ya kupaa kwa Bwana Yesu.

Ufufuo wa Lazaro ni moja ya kielelezo cha mfululizo wa taarifa za kitheolojia. Katika histori hii Lazaro ndiye pekee ambaye hakusema, chochote.

Martha na Mariamu nduguze na Lazaro walipata kusema, Wayahudi nao walipata kuongea na Pia Yesu ameongea kuhusu Ufufu huo.

Lakini Lazaro ndiye aliyekaa kimya.

KAMA TUJUAVYO BWANA HAKUMFUFUA LAZARO PEKEE BALI WENGI AMBAO WENGINE HATUKUWAJUA

je ni vipi Mrejesho wa wafu hawa ,Walipata kusema nini? huko walikokuwa nini kiliwapata?? walijitambua?? au hawakujitambua?? Maisha ya Hali ya UFU yalikuwa vipi?

NB: Nyuzi hii haiko kwa Ajili ya kuleta mgongano wowote wa kiimani

daVinci XV

Dhana ya kufufuka iko hivi.. Ni lazima kiwepo kiumbe hai halafu kikafa.. Yaani uhai kabla ya kifo.. Ni lazima kwanza ufe ndio ufufuke
Kufa pia kuko kwa aina nyingi lakini naamini hapa tunajadili kifo kikuu kile cha mwili kutengana na roho...!!! Na kwakweli kinachokufa ni mwili na si roho kwakuwa roho inapozaliwa haifi tena..!!
Ufahamu kamili wa mtu hupatikana kwenye kitunza kumbukumbuku kiitwacho unbongo ndani ya mwili hii ndio hardcopy..soft copy inaondoka na roho.. Hivyo bila kupata hardware ya mwili ili uweze ku instore soft copy ni ngumu kupata kumbukumbu yoyote kwa ukamilifu wake
 
JESUS IS FAKE, ALSO HIS MIRACLE WAS FAKE TOO,COZ HE NEVER EXISTED IN REALLY HISTORY
Yaa ni kwl ukiwa na akil lazma uhojii huyo wanayemuita yesu alikuwa wapi?? kwann awe mweupe wakat hlo eneo la palestina ya leo lilikaliwa na mtu mweus kwa zaid ya miaka7000 kabla hata mzungu na mwarabu hajajua kujichamba wala kuvaa chupi,,huyo wanaemuita yesu ama jesus hana historia yoyote hapa dunian.tafuta kitabu chochote cha kihistoria hutoona ushahid wa kuwako mtu mweupe aliyesurubiwa hapo palestina a.k.a israel feki,,bal miaka ya 300 hiv AD naposema AD maana yake nikwa mujibu wa warumu karenda iliyoanza kuhesabiwa kuanzia kutengenezwa kwa kristo fek yesu miaka ya 2000 iliyopita,,sasa bas mwaka huo wa300 jumuiya za awa mabwana wakaitana ktk mkutano wa nincea uku lengo likiwa ni kubadir jina la ZEUS AMA ZEZUS na kulificha kwa kubadr heruf ya mwanzo ya Z' na kuweka J' ili kumfanya zeus aendelee kuabudiwa ndipo wakaleta JESUS..huyu ndie wakristo wavivu wa kusoma wanadai ndye yule mwan wa Mungu,,sikatai mwana wa Mungu nikwel aliwahi kujaa zamaani sana hata kabla ya uyo zeus wenu kuwepo, na huyu christo wa kwel alikuwa mtu mweusi toka Afrika na huyu anayo historia kuanzia ktk vtabu mpka nakala za biblia ya kwel ambayo haija editiwa na awo wajinga....muulizen papa wenu kwann walitoa baaz ya vitabu ktk biblia?? kwann biblia inakataza kuongeza ama kupunguza neno lolote lakn wao wanafanya hivyo??? [emoji23]
....ukwel mchungu jina la yesu ama jesus haliwez kukupa ufalme wa Mbingu maana ni pepo[emoji58] ambalo ukilitii kwa kuamn lazma utapona tena linanguv hata yakuondoa mapepo wenzake,.ili kuwa badaa wafuasi wake...
...I'M NOT BELIEVING JESUS,WHATEVER IS YESU IN SWAHIL OR ZEUS BY ORIGINAL NAME I DON'T CARE BCOZ HE NEVER EVER EXISTED....jesus is the most terrorist in the world
....SASA unatakiwa ujue kuwa kuna vifo aina 2 yaani kifo feki na original, kifo feki ni kupoteza nafsi mwilin kabla ya kufikisha umri sahh uliopangiwa na Muumba na kifo original ni kile ambacho mtu hufa yaan nafs na roho hutoweka mwilin baada ya umr sahh na kutimiza mission uliyoitiwa hapa dunian, so mtu akifa kifo OG hawez fufuliwa hata ukeshe unaomba,lkn kifo feki, mtu anaweza ,fufuliwa kama mwil wake haujaaribika, maana nafsi yake inakuwa bado iko duniana ikitanga tanga ama kama aliuwawa kichaw na kupelekwa usukulen anaweza rudishwa nafsi yake ktk mwl kuptia njia mbalimbali, na ujue kuw hakuna jehanamu wala pepo, mtu anapokufa anakuwa katoweka ktk limwengu zote,nikimaanisha limwengu ya mwl,nafs,na roho, na kupelekwa mahala ambako atakuwa mkiwa mpka sku ya hukumu, hiyo jehanam na pepo ni fake imagination zilizotungwa na shetan kuulaghai ulimwengu, na mara nying hutumiwa kw wale wanaosema walikufa na kufufuka sjui walikwenda mbingun na kuzim na kuuona moto mkubwa,jua kuwa ule moto na mbingu, ni fake ambayo imeundwa na shetan mwenyew kuwadanganya wanadamu, mpk sasa hakuna alie moton wala alie mbingun, acheni stor zakipuuz, anaejiona mjuaj wa maandiko aje anipinge tutapingana kwa maandiko na ushahidi tu...View attachment 1852272
Unaandika kama umepagawa na mapepo, hakuna hata paragraph.

shindwaaa
 
Dhana ya kufufuka iko hivi.. Ni lazima kiwepo kiumbe hai halafu kikafa.. Yaani uhai kabla ya kifo.. Ni lazima kwanza ufe ndio ufufuke
Kufa pia kuko kwa aina nyingi lakini naamini hapa tunajadili kifo kikuu kile cha mwili kutengana na roho...!!! Na kwakweli kinachokufa ni mwili na si roho kwakuwa roho inapozaliwa haifi tena..!!
Ufahamu kamili wa mtu hupatikana kwenye kitunza kumbukumbuku kiitwacho unbongo ndani ya mwili hii ndio hardcopy..soft copy inaondoka na roho.. Hivyo bila kupata hardware ya mwili ili uweze ku instore soft copy ni ngumu kupata kumbukumbu yoyote kwa ukamilifu wake
sawa sawa mkuu
 
Mimi pia nimekuwa nikijiuliza swali hili.Hao kina Lazaro,Binti Yeiro na wengine waliofufuliwa si watupe siri za maisha ya huko baada ya kifo! Waliona nini huko?
 
Mimi pia nimekuwa nikijiuliza swali hili.Hao kina Lazaro,Binti Yeiro na wengine waliofufuliwa si watupe siri za maisha ya huko baada ya kifo! Waliona nini huko?
Tungepata walau update ya huko
Je ni salama,Au ukilala ndiyo umelala kama isemavyo na wengine???

Na je au kuna maisha yale Mapya ambayo kila mfu anayapitia?? (kuzimu)

Yaani ile tukifa tunaendawapi??
 
Wasaalaam

View attachment 1850356

Katika dini hizi kuu (Abrahamic) hakuna pande yoyote inayokataa uwepo wa Mtoto wa Mariamu Yesu wa Nazareth , historia na hadithi za maisha za Yesu/Issa zipo katika upande wa Dini kuu mbili hizi Uislam na Ukristo.

Maelezo Juu ya Bwana huyu Katika pande hizo mbili yana kiwango chake yanachofanana na mambo mengine kadhaa wa kadhaa hayashabihiani.

Katika Uislam pia Yesu anatambulika kama Mtume wa Mwenyezimungu ambaye alipewa , neno kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa Waja wa huyo M/Mungu.

Tunajifunza juu ya bwana huyu kwenye Biblia,Qur'an kwenye Sayansi na Hata katika Historia juu ya Bwana huyu ambaye alipewa Ishara ambazo hata Manabii na mitume wengine Hawakupata (kuponya wagonjwa, kufufua wafu N.K)

ikumbukwe si Biblia tu iaminiyo juu ya Miujiza ya Bwana Yesu

Qur'an
inadokeza pia,

2:87

Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Issa, mwana wa Mariamu, Ishara(miujiza) zilizo waziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu. Basi kila walipo kufikieni Mitume kwa yale ambayo hayapendwi na nafsi zenu, mlijivuna; wengine mkawakanusha, na wengine mkawauwa.


Lakini kuwa na miujiza kwa wajumbe wa Mwenyezimungu ni jambo la kawaida ili waumini wapate kuamini kupitia kwayo.

Mlengo wa nyuzi hii ulijikita kwa Huyu bwana Yesu ambae alikuwa na Miujiza mikubwa na ya kipekee, na Hapa swali linajikita kwenye Hili la kufufua wafu.

Ni dhahiri Bwana Yesu hakufufua mfu mmoja , bali ni wengi sana lakini kipo kisa maarufu cha Lazaro , ambacho Injili ya Yohanna pekee imekielezea hichi kisa kwa Upana kidogo. Nami nitapenda nikitumie kisa hicho.

Yohana 11:41

Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.

42

Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

43

Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

44

Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.

Hapo anaelezewa Lazaro alipotolewa katika Wafu na Bwana Yesu

SWALI KUU HAPA NI KWAMBA

NINI MREJESHO WALIOKUJA NAO WAFU WALIOFUFULIWA , HUKO WALIKOKUWA?

Ukiachana na mafunzo tuyapatayo juu ya Uwepo wa M/Mungu na Kupitia miujiza kama hiyo.

Haijaandikwa katika histori hiyo kama ilivyoandikwa na mwandishi wa injili hiyo.
Ni wazi kwa mwandishi ilikuwa kwamba ni muhimu katika Histori hii.??

Histori inatuonyesha kwamba Wayahudi wengi walikuwa na mawazo tofauti juu ya ufufuo huo, Injili hii Iliandikwa yapata miaka sabini baada ya kupaa kwa Bwana Yesu.

Ufufuo wa Lazaro ni moja ya kielelezo cha mfululizo wa taarifa za kitheolojia. Katika histori hii Lazaro ndiye pekee ambaye hakusema, chochote.

Martha na Mariamu nduguze na Lazaro walipata kusema, Wayahudi nao walipata kuongea na Pia Yesu ameongea kuhusu Ufufu huo.

Lakini Lazaro ndiye aliyekaa kimya.

KAMA TUJUAVYO BWANA HAKUMFUFUA LAZARO PEKEE BALI WENGI AMBAO WENGINE HATUKUWAJUA

je ni vipi Mrejesho wa wafu hawa ,Walipata kusema nini? huko walikokuwa nini kiliwapata?? walijitambua?? au hawakujitambua?? Maisha ya Hali ya UFU yalikuwa vipi?

NB: Nyuzi hii haiko kwa Ajili ya kuleta mgongano wowote wa kiimani

daVinci XV


Hebrew 9:27

New King James Version

And as it is appointed for men to die once, but after this the judgment,





Lazarus was the brother of Martha and Mary. Lazarus was not resurrected, he was resuscitated with his mortal body.

Resurrection is the rising of the dead to immortality.

Even though Lazarus was brought back to life, he was going to die again, just as everyone else does.
 
Wasaalaam

View attachment 1850356

Katika dini hizi kuu (Abrahamic) hakuna pande yoyote inayokataa uwepo wa Mtoto wa Mariamu Yesu wa Nazareth , historia na hadithi za maisha za Yesu/Issa zipo katika upande wa Dini kuu mbili hizi Uislam na Ukristo.

Maelezo Juu ya Bwana huyu Katika pande hizo mbili yana kiwango chake yanachofanana na mambo mengine kadhaa wa kadhaa hayashabihiani.

Katika Uislam pia Yesu anatambulika kama Mtume wa Mwenyezimungu ambaye alipewa , neno kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa Waja wa huyo M/Mungu.

Tunajifunza juu ya bwana huyu kwenye Biblia,Qur'an kwenye Sayansi na Hata katika Historia juu ya Bwana huyu ambaye alipewa Ishara ambazo hata Manabii na mitume wengine Hawakupata (kuponya wagonjwa, kufufua wafu N.K)

ikumbukwe si Biblia tu iaminiyo juu ya Miujiza ya Bwana Yesu

Qur'an
inadokeza pia,

2:87

Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Issa, mwana wa Mariamu, Ishara(miujiza) zilizo waziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu. Basi kila walipo kufikieni Mitume kwa yale ambayo hayapendwi na nafsi zenu, mlijivuna; wengine mkawakanusha, na wengine mkawauwa.


Lakini kuwa na miujiza kwa wajumbe wa Mwenyezimungu ni jambo la kawaida ili waumini wapate kuamini kupitia kwayo.

Mlengo wa nyuzi hii ulijikita kwa Huyu bwana Yesu ambae alikuwa na Miujiza mikubwa na ya kipekee, na Hapa swali linajikita kwenye Hili la kufufua wafu.

Ni dhahiri Bwana Yesu hakufufua mfu mmoja , bali ni wengi sana lakini kipo kisa maarufu cha Lazaro , ambacho Injili ya Yohanna pekee imekielezea hichi kisa kwa Upana kidogo. Nami nitapenda nikitumie kisa hicho.

Yohana 11:41

Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.

42

Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

43

Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

44

Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.

Hapo anaelezewa Lazaro alipotolewa katika Wafu na Bwana Yesu

SWALI KUU HAPA NI KWAMBA

NINI MREJESHO WALIOKUJA NAO WAFU WALIOFUFULIWA , HUKO WALIKOKUWA?

Ukiachana na mafunzo tuyapatayo juu ya Uwepo wa M/Mungu na Kupitia miujiza kama hiyo.

Haijaandikwa katika histori hiyo kama ilivyoandikwa na mwandishi wa injili hiyo.
Ni wazi kwa mwandishi ilikuwa kwamba ni muhimu katika Histori hii.??

Histori inatuonyesha kwamba Wayahudi wengi walikuwa na mawazo tofauti juu ya ufufuo huo, Injili hii Iliandikwa yapata miaka sabini baada ya kupaa kwa Bwana Yesu.

Ufufuo wa Lazaro ni moja ya kielelezo cha mfululizo wa taarifa za kitheolojia. Katika histori hii Lazaro ndiye pekee ambaye hakusema, chochote.

Martha na Mariamu nduguze na Lazaro walipata kusema, Wayahudi nao walipata kuongea na Pia Yesu ameongea kuhusu Ufufu huo.

Lakini Lazaro ndiye aliyekaa kimya.

KAMA TUJUAVYO BWANA HAKUMFUFUA LAZARO PEKEE BALI WENGI AMBAO WENGINE HATUKUWAJUA

je ni vipi Mrejesho wa wafu hawa ,Walipata kusema nini? huko walikokuwa nini kiliwapata?? walijitambua?? au hawakujitambua?? Maisha ya Hali ya UFU yalikuwa vipi?

NB: Nyuzi hii haiko kwa Ajili ya kuleta mgongano wowote wa kiimani

daVinci XV



Waking the Dead

– Did Jesus really "raise" anyone?


Of the 35 miracles supposedly performed by Jesus three were nothing less than restoring life to the recently dead. The lucky three were, implicitly, returned to normal life and would die another day, though we are told nothing of their post death adventures.

Perhaps like Tom Hanks in The Green Mile they lived to a quite extraordinary age? Yet we can be reasonably certain the three were not "resurrected" to life eternal in a supernatural body in the manner of JC himself. That cachet was for JC alone.


But were the three ever raised at all?
 
Back
Top Bottom