Wale wanaoilaumu Israel kuwa ni serikali ya kibaguzi, picture hii ya waislam wakiwa huru na imani yao ndani ya Israel inawafundisha nini?

Wale wanaoilaumu Israel kuwa ni serikali ya kibaguzi, picture hii ya waislam wakiwa huru na imani yao ndani ya Israel inawafundisha nini?

Embu jitafakari vizuri!
Wanabaguliwa ni wale tu waliopo ukanda wa Gaza na West Bank? au hata waliopo ndani ya Waisrael?

Kama ufahamu hili Fanya uchunguzi Ili upate majibu
 

Mbaguzi ni muham mad aka allah Anaye waona WAYAHUDI ni maadui wa waislamu!
👇👇
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
 
Embu jitafakari vizuri!
Wanabaguliwa ni wale tu waliopo ukanda wa Gaza na West Bank? au hata waliopo ndani ya Waisrael?

Kama ufahamu hili Fanya uchunguzi Ili upate majibu
Tuonyeshe picture kama hiyo kwa wayahudi wakiwa west bank, jordan, lebanon, iran Egypt au hata wakiristo wakiwa kwenye hizo nchi za kiarabu
 
Tuonyeshe picture za wakiristo wakiwa huru kama hivyo kule iraq, yemen, iran na ha Qatar
Mimi siyo mpiga picha na siwezi kuangaika kwa upuuzi kama huo ili nikufurahishe kafiri.
 
Kama na nyie waarabu weusi jinsi ambavyo waarabu original wanadai kwamba nyie sio waislam na ni mambwa wao vilevile.
Wao hawana haki ya kuamua mtu gani ndiyo Muislam, Uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu na kama kutukana hawawatukani Waislamu weusi tu bali watatukana watu weusi wote na hii ni kutokana na ubaguzi tu wa rangi kama wafanyavyo mayahudi kwa kuwatukana na kuwadhalilisha watu weusi haijalishi wewe unajiita myahudi kama wao au la.
 
Wao hawana haki ya kuamua mtu gani ndiyo Muislam, Uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu na kama kutukana hawawatukani Waislamu weusi tu bali watatukana watu weusi wote na hii ni kutokana na ubaguzi tu wa rangi kama wafanyavyo mayahudi kwa kuwatukana na kuwadhalilisha watu weusi haijalishi wewe unajiita myahudi kama wao au la.
Mwenyezi Mungu ana dini?
 
Back
Top Bottom