Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba yule kafiri anaemlinda Mama Samia hana upendo na Mama? Au chuki zako ndiyo shida.Waislam wa mchongo hao,hakuna Yahudi wala Kafiri mwenye upendo wa dhati kwa Muislam.
Tuonyeshe picture kama hiyo kwa wayahudi wakiwa west bank, jordan, lebanon, iran Egypt au hata wakiristo wakiwa kwenye hizo nchi za kiarabuEmbu jitafakari vizuri!
Wanabaguliwa ni wale tu waliopo ukanda wa Gaza na West Bank? au hata waliopo ndani ya Waisrael?
Kama ufahamu hili Fanya uchunguzi Ili upate majibu
Tuonyeshe picture za wakiristo wakiwa huru kama hivyo kule iraq, yemen, iran na ha QatarWaislam wa mchongo hao,hakuna Yahudi wala Kafiri mwenye upendo wa dhati kwa Muislam.
Wenzio hao wengine waone walichofanya kwa wakristo wa Burkina Faso 🇧🇫Ur being so simplistic! What is, happening on non jews, is more than that pic!
Sina jibu tofautiKwamba yule kafiri anaemlinda Mama Samia hana upendo na Mama? Au chuki zako ndiyo shida.
Mimi siyo mpiga picha na siwezi kuangaika kwa upuuzi kama huo ili nikufurahishe kafiri.Tuonyeshe picture za wakiristo wakiwa huru kama hivyo kule iraq, yemen, iran na ha Qatar
Huyo ni mwanajeshi kuna warabu wengi tu wako jeshi la Israel sa ajabu ipo wapi. Je wanapewa facilities kama za hao ma Zionists? Hilo ndio swali kachunguze utapata jibu.
Hakika lo
Kama na nyie waarabu weusi jinsi ambavyo waarabu original wanadai kwamba nyie sio waislam na ni mambwa wao vilevile.Waislam wa mchongo hao,hakuna Yahudi wala Kafiri mwenye upendo wa dhati kwa Muislam.
Wao hawana haki ya kuamua mtu gani ndiyo Muislam, Uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu na kama kutukana hawawatukani Waislamu weusi tu bali watatukana watu weusi wote na hii ni kutokana na ubaguzi tu wa rangi kama wafanyavyo mayahudi kwa kuwatukana na kuwadhalilisha watu weusi haijalishi wewe unajiita myahudi kama wao au la.Kama na nyie waarabu weusi jinsi ambavyo waarabu original wanadai kwamba nyie sio waislam na ni mambwa wao vilevile.
Pole kwa kuwa brainwashedWaislam wa mchongo hao,hakuna Yahudi wala Kafiri mwenye upendo wa dhati kwa Muislam.
Mwenyezi Mungu ana dini?Wao hawana haki ya kuamua mtu gani ndiyo Muislam, Uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu na kama kutukana hawawatukani Waislamu weusi tu bali watatukana watu weusi wote na hii ni kutokana na ubaguzi tu wa rangi kama wafanyavyo mayahudi kwa kuwatukana na kuwadhalilisha watu weusi haijalishi wewe unajiita myahudi kama wao au la.
Wewe hujui chochote hata uelewa wako ni mdogo sana yaani ni mjinga.Mwenyezi Mungu ana dini?