Ndiyo tatizo la kufakamia kitimoto ovyo.Pole kwa kuwa brainwashed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tatizo la kufakamia kitimoto ovyo.Pole kwa kuwa brainwashed
Tuonyeshe picture za wakiristo wakiwa huru kama hivyo kule iraq, yemen, iran na ha Qatar
Waislam ni makafiri sana wamemzidi hata mtume wao kwa ukafiriWaislam wa mchongo hao,hakuna Yahudi wala Kafiri mwenye upendo wa dhati kwa Muislam.
wewe ni zaidi ya mjinga , ulipo usisahau hilo.Mimi siyo mpiga picha na siwezi kuangaika kwa upuuzi kama huo ili nikufurahishe kafiri.
Mungu hana dini na hakuna popote alipowahi kutamka kwamba yeye ana dini labda kama unamsema allah.Wao hawana haki ya kuamua mtu gani ndiyo Muislam, Uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu na kama kutukana hawawatukani Waislamu weusi tu bali watatukana watu weusi wote na hii ni kutokana na ubaguzi tu wa rangi kama wafanyavyo mayahudi kwa kuwatukana na kuwadhalilisha watu weusi haijalishi wewe unajiita myahudi kama wao au la.
Pigeni kelele wee ila Ukristo Ndio utatawala dunia milele na milele.Waislam wa mchongo hao,hakuna Yahudi wala Kafiri mwenye upendo wa dhati kwa Muislam.
Wapi nimesema waislam ni magaidi?!Wanaishi vipi kwa amani akati umesema waislam ni magaidi
Sawa ndugu Kafiriwewe ni zaidi ya mjinga , ulipo usisahau hilo.
Hujui kitu.Mungu hana dini na hakuna popote alipowahi kutamka kwamba yeye ana dini labda kama unamsema allah.
Ulipaswa kunijibu kwa staha na si karaha maalim.Bado hujanijibu lakini.Wewe hujui chochote hata uelewa wako ni mdogo sana yaani ni mjinga.
Kwaiyo mnataka kupendwa kwa dhati?Waislam wa mchongo hao,hakuna Yahudi wala Kafiri mwenye upendo wa dhati kwa Muislam.
.... Kachunguze utapata jibu.........weka hapa hicho unachomtuma achunguze kama kweli kipo, au ni kumtaka kurefusha mjadala?.Huyo ni mwanajeshi kuna warabu wengi tu wako jeshi la Israel sa ajabu ipo wapi. Je wanapewa facilities kama za hao ma Zionists? Hilo ndio swali kachunguze utapata jibu.
unataka uachwe ukishambulia ? kisa ww mwarabEmbu jitafakari vizuri!
Wanabaguliwa ni wale tu waliopo ukanda wa Gaza na West Bank? au hata waliopo ndani ya Waisrael?
Kama ufahamu hili Fanya uchunguzi Ili upate majibu