Yes mkuu umenikumbusha ile Taqwa,Dar to Nairobi..nyuma ilibeba bango lililoandikwa ALLAN MAKABA, ule moto wake kuanzia pale kariakoo, binafsi ni mpenzi wa speed (yenye science ndani yake, all fast corners, slow corners na breaking zones ni key unapokua kwenye speed (Halafu niliwasahau wafanyabiashara wa miaka ile waliofuata vitu Uganda na kwenda kuuza Kariakoo au mwanza, wale wa Falcon na Taqwa, Dar to kampala,
Yes mkuu umenikumbusha ile Taqwa,Dar to Nairobi..nyuma ilibeba bango lililoandikwa ALLAN MAKABA, ule moto wake kuanzia pale kariakoo, binafsi ni mpenzi wa speed (yenye science ndani yake, all fast corners, slow corners na breaking zones ni key unapokua kwenye speed (
Yeah mkuu ila Kisutu ilikua zaidi kwa mabus ya kanda ya kaskazini, mabus mengi yalikua na vijistendi vyao kuzunguka maeneo ya kariakoo, mnazi mmoja mengi ya kanda ya nyanda za juu (ingawa kampuni kama kwacha ilikua na private stend yake),ubungo ilikuwa ni super place kwa stendi, ila pale mbezi ni uchafu mkubwa, pafungweNa ukumbuke stendi ilikua kisutu, ikaja ubungo kwa sasa iko Mbezi,
Yeah mkuu ila Kisutu ilikua zaidi kwa mabus ya kanda ya kaskazini, mabus mengi yalikua na vijistendi vyao kuzunguka maeneo ya kariakoo, mnazi mmoja mengi ya kanda ya nyanda za juu (ingawa kampuni kama kwacha ilikua na private stend yake),ubungo ilikuwa ni super place kwa stendi, ila pale mbezi ni uchafu mkubwa, pafungwe
Kuna kipindi nilikuwa naziona Sasse Bossa zimechoka vibaya sijui kama bado zipo, zile kona za barabara ya Chunya si mchezo, hakuna anayepeleka Basi la maana kule yote ni mikwecheNawatafuta wale waliosafiri na Sabena Mbeya to Tabora via Chunya ambao kulala wiki ilikua kawaida kabisa hasa wakati wa mvua
Kuna kipindi nilikuwa naziona Sasse Bossa zimechoka vibaya sijui kama bado zipo, zile kona za barabara ya Chunya si mchezo, hakuna anayepeleka Basi la maana kule yote ni mikweche
Mgamba haoni road huu mwez wa tatu sasa nyepesi nyepesi n Kama imekuwa ngumu kwakeUmetisha
Hv mghamba bado wapo Mwanza Arusha
Hujambo mremboDuh watu mna ushabiki kwa kila kitu
Mgamba hayupo road marangu coach, mtei na masalu wamemkazia route ya Kahama mpaka geita na route ya mwanza kule hakuna kulaza damu Asante rabi anaweka chuma nne kwa route moja, loliondo chuma 2 kwa route moja sasa wanabaki kiazi Kitamu, kaprikon bado wa Moshi Kuna nyehunge, kisesa na isamilo naona pia kashindwa kupambana.Wapo wanajikongoja naona Asante Rabi anawafuata sana
Kapambana toka barabara ikiwa ya vumbi kaja kushindwa pazuri,hii biashara itakuwa ni ngumu mno ila ina pesa za harakaMgamba haoni road huu mwez wa tatu sasa nyepesi nyepesi n Kama imekuwa ngumu kwake
Na mwaka Jana chuma zote zilienda bodi hata zile zilikuwa garage kafufua sa sijui imekuaje Ila Kuna ajali za kifala zilianza kumpata.Kapambana toka barabara ikiwa ya vumbi kaja kushindwa pazuri,hii biashara itakuwa ni ngumu mno ila ina pesa za haraka
Ibra line nakataaNazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaa WW2mini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini Ibra
mkuu Ibra Line unazungmzia mwaka gan? labda Ibra Express anabamba hadi sasa newala japo yupo hoi sana
Vingunguti hapaendeki kirahisi bro, 95 iliyotimia na viungo vyote, retarder ,2 pedal auto opticruise gearbox , si chini ya 800 millionsMgamba hayupo road marangu coach, mtei na masalu wamemkazia route ya Kahama mpaka geita na route ya mwanza kule hakuna kulaza damu Asante rabi anaweka chuma nne kwa route moja, loliondo chuma 2 kwa route moja sasa wanabaki kiazi Kitamu, kaprikon bado wa Moshi Kuna nyehunge, kisesa na isamilo naona pia kashindwa kupambana.
KATARAMA n habari nyingine kwasasa chuma 2 vs chuma 8 za kampuni moja bado happy nation, kisbo, frester, Kapricon, abood wote wanaomba poo kwa KATARAMA.
Biashara n mtaji kwa kweli na kuamini kwa kidogo ulichonacho.
Mwarabu hana muda ataenda pale vingunguti Mana hawez vumilia tabu anayopewa na msukuma mmoja
na LALI nae naona anajishtua shtua uxingzn bdo hajaamkaHoi sana
Mpanda hakuna abood nahis una kisia tuNakonde to Lusaka nawaamini Power Tools
Lusaka to Harare nawaamini Mazhandu
Harare to South nawaamini Tamuka au munenzwa
Kampala to Beni congo nawaamini Link
Beni To Kisangani nawaamini Nangolu
Kigali To juba nawaamini Trinity
Goma to kigali nawaamini volcano au virunga
Lusaka to Dar nawaamini Royal
Mbeya to Dar nawaamini Sauli au Happination
Tunduma to Dar nawaamini Golden Deer au Newforce
Dar to Sumbawanga nawaamini Newforce
Dar to Mpanda nawaamini Happination na Abood
Dar to Lubumbashi nawaamini Classic
Kisangani to Butembo nawaamini classic