Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Dr Matola PhD nakupata vyema kakaHuku mtaani wenye D mbili ndio wanakimbiza hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Matola PhD nakupata vyema kakaHuku mtaani wenye D mbili ndio wanakimbiza hatari.
Fanya content creation.Hamna kitu unaona nipo nipo tuu
Sawa sawa mkuu....Fanya contect creation.
Tukuone tiktok as content creator, ahaa haaaSawa sawa mkuu....
Umefikwa ndugu yangu.Pole Pole jamani msijemkanikanyaga🤣🤣🤣🤣
Haya bana... 😂😂🙌🙌🙌Tukuone tiktok as contect creator, ahaa haaa
Boss,, naomba kibarua hapo ofisin/site. Nna ujuzi wa driving na basic computer applications. Asante.Tunaendelea kutafuna kadri tuwezavyo na hakuna kitu mtafanya.
Jana tumepokea Gassoline kupitia MT POLAR ACE, na juzi MT RICH RAINBOW bandarini na tuna per diem za kutosha.
Na tunashirikiana na Surveyor kupiga Kodi zenu nahakuna kitu mtafanya.
Pia MOUNT MERU wanajenga matank ya mafuta katafuteni vibarua maana ndio kazi mnazoweza, pia HASS anaongeza line ya pipe kutoka KIOJ 1, na Sahara pia anapanua depot yake katafuteni vibarau.
Pumbavuu...
Akikujibu utaniambia. Ahaa haaaBoss,, naomba kibarua hapo ofisin/site. Nna ujuzi wa driving na basic computer applications. Asante.
Nimjibu iweje?. Nimesema nipo hapa kutoa msaada?. Kila mahala nimemuelekeza nijukumu lake kupeleka cv au kutafuta kibarua mahali husika.Akikujibu utaniambia. Ahaa haaa
Boss,, naomba kibarua hapo ofisin/site. Nna ujuzi wa driving na basic computer applications. Asante.
.Nimjibu iweje?. Nimesema nipo hapa kutoa msaada?. Kila mahala nimemuelekeza nijukumu lake kupeleka cv au kutafuta kibarua mahali husika.
Mimi kazi yangu sio kutoa vibarau au kuajiri watu.
Najambo lingine sio Kila anaeomba msaada hapa JF yupo Kwa lengo la kuomba msaada wengine wapo kuvhunguza wewe ni nani baada yakuona umeandika taarifa za ukweli juu yameli hizo zilishoshusha mafuta Jana na juzi.
Tatizo mnataka Kila mtu akija humu aje kulia njaa, wengine tushapita huko tulilia njaa sana kipindi tunasoma tulifanya ujasiliamali wakila aina lakini Leo kisa hio degree unayoidharau tupo hapa tulipo Kwa degree hio hio.
Pumbavuuu...unadharau elimu halafu ndugu zako wote wanasoma na huwaambii waache kusoma.
.
Boss mie sio muajiri, peleka cv sehemu husika wakina unahitajika utaitwa.
Noted Mr. Chancellor Sir.If hustlings works for you don't bully those studying if studying work for you don't bully those hustling. The goal is to succeed
Ni kweli linawezekana lakini ni very very expensive. Hebu zingatia tangu JPM aanzishe habari za madawati Toshelevu mafanikio yamekuwaje hadi sasa. Mbona bado idadi ya madawati yanayotosheleza haijaweza kufikiwa/ haijakamilika? Hoja ya Elimu bure ipo kisiasa zaidi lakini katika uhalisia wake haipo elimu ya bure. Kwa mfano elimu bure haimaanishi mtoto ale chakula cha mchana shuleni kitakacholetwa na serikali.Hiyo haipo, bali ni lazima mzazi achangie ili mwane ale chakula mchana shuleni. Je, wazazi wenye watoto hapo shuleni wote ni wakulima?Kwani gvt haiwezi kufanya mazingira ya shule zao kuwa bora .kama JPM aliweza kuanzisha mfumo wa elimu bure natumaini hata hili linawezekana
Haya ndio mawazo mazuri sasa, sio kisa kwao mtu kasoma kakosa ajira anataka aitoe elimu thamani kisa Kuna ndugu yake mwingine ana ahueni ya maisha kuliko waliosoma.If hustlings works for you don't bully those studying if studying work for you don't bully those hustling. The goal is to succeed
Mbona unafoka sana bwashee? Mngetumia usomi wenu kuwaelimisha watu wasiangaike na degree wasomee ujuzi ndio unalipa dunia ya leo.Nimjibu iweje?. Nimesema nipo hapa kutoa msaada?. Kila mahala nimemuelekeza nijukumu lake kupeleka cv au kutafuta kibarua mahali husika.
Mimi kazi yangu sio kutoa vibarau au kuajiri watu.
Najambo lingine sio Kila anaeomba msaada hapa JF yupo Kwa lengo la kuomba msaada wengine wapo kuchunguza wewe ni nani baada yakuona umeandika taarifa za ukweli juu yameli hizo zilishoshusha mafuta Jana na juzi.
Tatizo mnataka Kila mtu akija humu aje kulia njaa, wengine tushapita huko tulilia njaa sana kipindi tunasoma tulifanya ujasiliamali wakila aina lakini Leo kisa hio degree unayoidharau tupo hapa tulipo Kwa degree hio hio.
Pumbavuuu...unadharau elimu halafu ndugu zako wote wanasoma na huwaambii waache kusoma.
Faraja yako nikusikia Kila aliesoma analia njaa, ukisikia tunakunywa maziwa roho inakutoka nakutamani ungekua wewe kwenye hio nafasi. Pambana sana muda wako ukifika hakuna wakuzuia.
.
Boss mie sio muajiri, peleka cv sehemu husika wakiona unahitajika utaitwa.
Uliacha au ulitimuliwa ukaona sio kesiHata mtaani kazi za wakala, maduka n.k degree holders na diploma zipo za kutosha ila ukitafakar kwa mapana utaona kwamba hata wao wangeweza kufungua biashara kama hizo, sasa sijui ni uoga au ni nini.
Mkuu mimi nilianza biashara napata faida laki per month, hapo nimetoka ktk ajira ambayo nilikuwa napokea at least 600k per month.
Namshukuru Mungu kwa sasa najiona kule kwenye ajira nilikuwa nimepoteza sana muda.
All in all, sote tunaamini kuna majira pia ambayo Mungu huwa humuinua mtu.
Mkuu kuwa serious sasa...
Kweli unasema ajira zipo nyingi..
Serious dactar