kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Wewe ulipata 4.3, mimi nilipata 2.5! Tunafanya kazi moja na mshahara ni mmoja, una kipi cha kujivunia kunizidi kutokana na GPA yako?Vile mnajipa mtumaini.
Vile Inferior people wanapenda kujilinganisha na waliowazidi ili kujipa matumaini.
Kufanya kazi na wenye gpa za 4 hakukuondolei uhalisia wa vile kilaza ulikuwa.
Halafu kuna zile gpa za saut au tumaini university halafu kuna gpa za udsm au muhimbili.
Wewe ulisoma kozi gani na ulipata GPA gani?Usikute wenye GPA kubwa wamekuzidi mshahara na ufanisi
haina haja ya kujilinganisha nao kubali wamekuzidi
Kwani HR na Engineering nani mkubwa kwamwenzake nduguπ π π π π π π π π π πUngetaja na kozi. Uzito wa GPA unaenda sambamba na kozi. Huwezi linganisha 3.5 ya HR na 3.0 ya engineering. Tuelewane hapo!
Huko Serikalini ndio wanaangalia GPA. Huko kwenye taasisi kubwa hawahitaji cheti chako wakati wa kuomba kazi, unaambiwa leta CV na motivation letter tu. Vyeti utavileta wakati umepata kaziVile mnajipa mtumaini.
Vile Inferior people wanapenda kujilinganisha na waliowazidi ili kujipa matumaini.
Kufanya kazi na wenye gpa za 4 hakukuondolei uhalisia wa vile kilaza ulikuwa.
Halafu kuna zile gpa za saut au tumaini university halafu kuna gpa za udsm au muhimbili.
Usisahau GPA za SUA kuwa kundi moja na UDSM ns MUHAS.Vile mnajipa mtumaini.
Vile Inferior people wanapenda kujilinganisha na waliowazidi ili kujipa matumaini.
Kufanya kazi na wenye gpa za 4 hakukuondolei uhalisia wa vile kilaza ulikuwa.
Halafu kuna zile gpa za saut au tumaini university halafu kuna gpa za udsm au muhimbili.
π π π π π π Umeingia uzi usio kuhusu, bhana. Tumesema wenye hizo GPA wao wanajijua.Kwakweli jamii forum siku hizi imekuwa sio chuo cha mafunzo Tena,mnapopost mambo Makubwa na Magumu kama haya plz anza na kuandika nini Mana ya hiyo GPa ili na sisi ambao hatukwenda huko chuoni tujue mnazungumzia kitu gani?
#Maendeleo hayana Chama#
π π π π π π Umeingia uzi usio kuhusu, bhana. Tumesema wenye hizo GPA wao wanajijua.
Sababu zako hazina uhalisia Mimi mwenyewe ni above ya hapo na sijawahi fanya hivyo vitu hapo juuKwa mtu asiyejua mambo ya vyuoni anaweza kumuogopa na kumhusudu mtu mwenye GPA kubwa na kumdharau mwenye GPA ndogo. Kuna sababu nyingi zinazosababisha mtu apate ufauru mkubwa zaidi ya kusoma sana.
1. Urafiki na mkufunzi. Hapa km uko karibu sana na Lecturer anaweza kukwambia sehemu ya kusoma ili ufauru. Ndio maana wadada wengi hufanya vizuri sana vyuoni kuliko wanaume.
2. Ujanja ujanja wa mwanafunzi. Mfano kutumia nondo kwenye mtihani.
3.Kuchagua "Electives" rahisi hata km haziendani moja kwa moja na kozi yake.
Hadithi yako inatufundisha nini π€Huu uzi ni kwaajili ya wale ambao GPA zetu zipo chini ya 3.5
Naomba tupeane mrejesho kama hizi GPA zetu zimetuathiri chochote mtaani?
Mimi binafsi GPA yangu ni 3.1 net, tangia nimeingia kitaa sijawahi kukosa kazi kwa kigezo cha GPA. Na kazini nafanya kazi na wenye GPA zao za 4.3 na tunapata mshahara sawaπ π π π π
Ukienda kwenye makampuni unakuta wanaopaki magari kwenye maofisi ni watu wa hizi GPA za lower second. π π π π π π π π π π π π π π π π π
Infiriorite kompleksi oni fulikiii..!!Huu uzi ni kwaajili ya wale ambao GPA zetu zipo chini ya 3.5
Naomba tupeane mrejesho kama hizi GPA zetu zimetuathiri chochote mtaani?
Mimi binafsi GPA yangu ni 3.1 net, tangia nimeingia kitaa sijawahi kukosa kazi kwa kigezo cha GPA. Na kazini nafanya kazi na wenye GPA zao za 4.3 na tunapata mshahara sawaπ π π π π
Ukienda kwenye makampuni unakuta wanaopaki magari kwenye maofisi ni watu wa hizi GPA za lower second. π π π π π π π π π π π π π π π π π
Kwa nini?Mimi nimesoma IT nina GPA ya 2.6 huwa najuta sana kusomea hiyo kozi
Mada kama hizi ni hatari kwa ustawi wa jamii. Huenda rafiki Yako unayemchana alipata GPA kubwa na umemuacha kimaisha pengine wewe unaconnection nyingi au mazingira ya kazi yanawatofautisha. Sio Kila mwenye GPA kubwa au ndogo anaweza au kufeli kote.Dunia ya sasa inataka ubunifu na sio GPA.
Kwa Dunia ya sasa GPA kubwa utaishia kua mwalimu wa chuo kikuu tu.
Kazi za serikali tu ndio hua zinahitaji GPA na hasa wa waalimu wa vyuo.
Nakumbuka zamani hata TRA na BOT walikua wanataka watu wenye GPA kubwa ila baadae naona waliachana na huo utaratibu.
Ukienda kwenye banks wengi wanaofanya kazi pale wana ufaulu wa kawaida ila angalia performance yao, wako mbali.
Kua na GPA kubwa ni jambo zuri pia.