Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Nilicho kuja kugundua Kuna watu Wana akili za darasan na Kuna watu Wana akili za maisha....Vile mnajipa matumaini.
Vile Inferior people wanapenda kujilinganisha na waliowazidi ili kujipa matumaini.
Kufanya kazi na wenye gpa za 4 hakukuondolei uhalisia wa vile kilaza ulikuwa.
Halafu kuna zile gpa za saut au Tumaini university halafu kuna gpa za Udsm au Muhimbili.
Wenye akili nyingi za darasani ndio mabosi ofisi za Serikali na taasisi binafsi za ndani na kimataifa Omba kazi yeyote ya meneja au mkurugenzi Serikalinin au taasisi binafsi au za kimataifa uone kama wanahitaji huyo bwege anayejitia ana akili za maisha sio za darasaniNilicho kuja kugundua Kuna watu Wana akili za darasan na Kuna watu Wana akili za maisha....
Gpa Kubwa isibakie kwenye makaratasi iwe na impact
Unaandika lakini hutaji sijui una GPA ya ngapi, hawahitaji kujua ndio maana hawahitaji vyeti mpaka upewe kaziKwenye CV si unaandika accademic qualifications?
Haya ni mawazo ya unyanyapaa. Haishangazi mtaani kwako wanakukoma kujitahidi uonekane wa juu kisa tu una GPA ndogo.Huu uzi ni kwaajili ya wale ambao GPA zetu zipo chini ya 3.5
Naomba tupeane mrejesho kama hizi GPA zetu zimetuathiri chochote mtaani?
Mimi binafsi GPA yangu ni 3.1 net, tangia nimeingia kitaa sijawahi kukosa kazi kwa kigezo cha GPA. Na kazini nafanya kazi na wenye GPA zao za 4.3 na tunapata mshahara sawa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ukienda kwenye makampuni unakuta wanaopaki magari kwenye maofisi ni watu wa hizi GPA za lower second. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Umenena.Mada kama hizi ni hatari kwa ustawi wa jamii. Huenda rafiki Yako unayemchana alipata GPA kubwa na umemuacha kimaisha pengine wewe unaconnection nyingi au mazingira ya kazi yanawatofautisha. Sio Kila mwenye GPA kubwa au ndogo anaweza au kufeli kote.
Jambo Moja muhimu ni kwa kijana au yeyote anayesoma ni kuwa ukiwa shule tafuta maarifa ya kutosha usiingie na nondo Kwa kuwa maisha ya kazini yanahitaji maarifa zaidi vyeti hutumika siku moja tu unaporipoti kazini na kwa wajasiliamali kinachohitajika ni kuchanganya maarifa ya shule na mtaani. Wanafunzi someni kwa bidii mpate maarifa mengi.
Hapo bila huruma ya wanafunzu wa class kwake why asipate Lower second 😅😅😅Sometimes maapuuza tu
Mtu unasainiwa assignment hata kushiriki hushiriki kufanya kama ni ya group kama ni individual unasubiri mikeka na ukikosa mikeka unaenda stationary unajibanza wakisepa kwakua kazi ime kuwa saved unaenda mpa hela unamwambia itoe hii iliotoka kutolewa
Unafanyiwa quiz nyengine unazi miss wana wanakataa maana umezidi kuwafanya lofa
Kama PROf ni mtata au DEPARTMENt ya watu wasio na utani upo ghetto kitumbowazi unacheza fifa text inaingia oyaa wanahesabu namba au quiz mda huohuo unapanda pikipiki tu unafika umechelewa unajaza registration number tu maana bora hivyo kuliko kutokusanya
Utokei class unatuma registration number yako kwenye sms mwamba akujazie kwenye attendance sheet
Husomi hata ratiba za test unazisahau unasoma leo usiku kesho test au unasoma asubuhi unaanza kumuuliza wana kwenye simu oyaa PROf ame cover mpaka wapi
Hujui ratiba ya vipindi una kazi ya kuuliza tu baada ya hichi tuna kipindi gani kama kipindi ni saa nane saa nne ukitoka ndio hurudi tena mpka kesho
Wikiendi yako inaanzia Ijumaa kwa maana vipindi vya Ijumaa unaviua hutokei kabisa tukutane Jumatatu
Nitaendelea......
mbona unanisema kwa mbaali😅😅😅😅😅Kwenye test unapiga below mchawi anakuwa ni U.E hapo na U.E ukizungua imekula kwako
Kila semister lazima udakwe ukifaulu sana umeshikwa kimoja
C Kama zote na B chache A za kuokoteza nyingi za field na SP
Unaweza kaa wiki huonekani chuoni kabisa na ukisign boom ndio tunakusahau kabisa zikikaribia kuisha ndio unaonekana kwenye nyumba za ibada na venue
Umasainiwa kila kitu mpaka kwenye foleni ya boom unamtuma mwamba akakusainie wewe mazingira ya chuo una allergies nayo ukiutwa discussion unasinzia haposomeki Darasani napo simu isipokuwa na bando una sinzia ukiambiwa short break unatoka ndio urudi tena
Hata ada huendi kusaini mpka mtafutwe na ma cr kwenye course registration napo unachelewa mnaanza msumbua CR ila kwenye kukusanya assignment unakuwa wa kwanza sijui unazitoa wapi
Ukienda venue hubebi hata notebook ya kukopi upo na modo na mshati wako mkubwa wa chuga kama unapaa kwahyo ukitoroka mtu anajua unaenda chooni
Sasa hayo yote hayo kwa nini nisipate lower second mimi kunguru wa Manzese na wanangu
Nikuulize AKILI ni Nini?Wenye akili nyingi za darasani ndio mabosi ofisi za Serikali na taasisi binafsi za ndani na kimataifa Omba kazi yeyote ya meneja au mkurugenzi Serikalinin au taasisi binafsi au za kimataifa uone kama wanahitaji huyo bwege anayejitia ana akili za maisha sio za darasani
Kujiajiri huhitaji vyeti iwe ndani ya nchi au nje ya nchiNikuulize AKILI ni Nini?
Inategemea una yaangalia maisha katika engo Gani.....
Kua na AKILI sio vyeti....ndio maana Kuna RC morogoro tena ana kisomo Cha Dr alianza kulialia baada ya kutenguliwa....
Mm na washikaji zangu walikua wanatufundisha chemistry, physics, mathematics ila ikija Pepa kweny kile kile walicho nifundisha nawabuluza.....
Kuna mshikaji mwingine duu alikua kinara kwenye Kila kitu chuoni ku prisent, kufundishaa wengine ila alitoka na Gpa 2.2 jamaa ni material I appreciate the guy....
Mimi nilipata Gpa 3.4 nilitaman sana angalau niwe na 3.5
Siku izi maisha yamebadilika sana vyeti tunavyo vipo kabatini na tunafanya kitu tofauti na tulicho soma darasani sina excuse na haya maisha kisa Elimu....
Nikki wa pili aliwai sema wengine House girl pekee ndio anakuita boss...
Sisi wengine tumesha Toka huko kwenye kuajiliwa...
Nakazia tena Kuna AKILI za darasani na AKILI za MAISHA...omba Mungu akupe vyoteee...Omba asikunyime AKILI za MAISHA
Wasalaam,
Nikki wa Pili anaringia vyeo vya appointment vinavyotegemea mteuzi kuwa ni shangazi au bibi yake au mama mkubwa au mdogo Ujinga mtupuNikki wa pili aliwai sema wengine House girl pekee ndio anakuita boss...
Sisi wengine tumesha Toka huko kwenye kuajiliwa...
Nakazia tena Kuna AKILI za darasani na AKILI za MAISHA...omba Mungu akupe vyoteee...Omba asikunyime AKILI za MAISHA
Wasalaam,
Si kweli.sure usisahau na ile ya kufanyiwa assignments
Chuo kama
i) haugelezei wenzio kwenye pepa
ii) haufanyiwi assignment
iii) hauna mazoea na Leactures
iv) Huna wowowo/mzuri au hushawishi anybody [emoji75][emoji75][emoji75][emoji75]
tegemea kupata Lower second n pass otherwise inahitaj juhudi na msuli mkubwa sana kutoboa
Kwenye test unapiga below mchawi anakuwa ni U.E hapo na U.E ukizungua imekula kwako
Kila semister lazima udakwe ukifaulu sana umeshikwa kimoja
C Kama zote na B chache A za kuokoteza nyingi za field na SP
Unaweza kaa wiki huonekani chuoni kabisa na ukisign boom ndio tunakusahau kabisa zikikaribia kuisha ndio unaonekana kwenye nyumba za ibada na venue
Umasainiwa kila kitu mpaka kwenye foleni ya boom unamtuma mwamba akakusainie wewe mazingira ya chuo una allergies nayo ukiutwa discussion unasinzia haposomeki Darasani napo simu isipokuwa na bando una sinzia ukiambiwa short break unatoka ndio urudi tena
Hata ada huendi kusaini mpka mtafutwe na ma cr kwenye course registration napo unachelewa mnaanza msumbua CR ila kwenye kukusanya assignment unakuwa wa kwanza sijui unazitoa wapi
Ukienda venue hubebi hata notebook ya kukopi upo na modo na mshati wako mkubwa wa chuga kama unapaa kwahyo ukitoroka mtu anajua unaenda chooni
Sasa hayo yote hayo kwa nini nisipate lower second mimi kunguru wa Manzese na wanangu
Kaza mdogo angu wengine tulilijua Hilo mwaka wa kwanza semister ya pili...Kupambania Gpa inabid uache mambo mengi na uji toe kusoma....wakat mwingine ni luckiness....Duuh mimi semister ya kwanza tu nna GPA ya 2.5 sijui hadi namaliza wa tatu itakuaje , Lakini kupitia uzi huu lazima nibadirike[emoji848], naanza kuwa na uchu na GPA nzuri.