Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Utu tudada twa kazi dah acheni tu wengine wanakuwaga wazuri sana acheni tu ndio mana kwangu sitaki dada wa kazi naogopa majanga
Tunakujaga tuchafu tuchafu ila kakishaoga maji vizur na kula vizuri kakapaka mafuta unakaona kananawiri balaa hahaaa na vichuchu vile bas majanga matupu. Mie huwa nasali sana kwakweli sijajaribu ila mawazo huwa yananijia shetani mbaya sana
 
Baada tu ya Miezi 6 ndani ya ndoa nilisafiri kwa wiki 2 . Niliporudi mume kansmbia nimpe nauli hg arudi kwao ufanisi umeshuka. Badae nikaambiwa namajirani kuwa hg yu mjamzito
Wa pili pia nilisafiri na watatu vilevile. Na wote hao nilipomuuliza mr alikubali kuwa ni kweli.
Pole sana,tafuta sasa wa kiume wa kukusaidia kazi usitafute wa kike.Jamaa yako hana aibu kosa huwa mara moja tu zaidi ya hapo ni makusudi
 
Tunakujaga tuchafu tuchafu ila kakishaoga maji vizur na kula vizuri kakapaka mafuta unakaona kananawiri balaa hahaaa na vichuchu vile bas majanga matupu. Mie huwa nasali sana kwakweli sijajaribu ila mawazo huwa yananijia shetani mbaya sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu acha tu kuna mmoja alikuja kwangu alikuwa modo hatari chuchu mchongoma yani dah shetani ashindwe na alegee yani sijui nisemeje ila dah embu tuyaache
 
Ili kujizuia, ni bora kutafuta ndugu wa kike wa mwanamume kwa ajili ya kusaidia kazi. (hapa sio rahis kumgegeda ndugu yake ingawa pia inawezekana, maana watu washakula dada zao, shangazi na mama wadogo) ila ni afadhali
 
Ili kujizuia, ni bora kutafuta ndugu wa kike wa mwanamume kwa ajili ya kusaidia kazi. (hapa sio rahis kumgegeda ndugu yake ingawa pia inawezekana, maana watu washakula dada zao, shangazi na mama wadogo) ila ni afadhali
 
Ili kujizuia, ni bora kutafuta ndugu wa kike wa mwanamume kwa ajili ya kusaidia kazi. (hapa sio rahis kumgegeda ndugu yake ingawa pia inawezekana, maana watu washakula dada zao, shangazi na mama wadogo) ila ni afadhali
Yaah, ila sasa kumpata ambaye hana majukumu ndo kazi
Fanya unitafute tumlipizie .. haiwezekani akushushe vyeo na kukunyanyasa kiasi hicho
Miye sio mtu wa visasi
 
Back
Top Bottom