Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakujaga tuchafu tuchafu ila kakishaoga maji vizur na kula vizuri kakapaka mafuta unakaona kananawiri balaa hahaaa na vichuchu vile bas majanga matupu. Mie huwa nasali sana kwakweli sijajaribu ila mawazo huwa yananijia shetani mbaya sanaUtu tudada twa kazi dah acheni tu wengine wanakuwaga wazuri sana acheni tu ndio mana kwangu sitaki dada wa kazi naogopa majanga
Ila huyu ni mwamba aisee watatu wote kadunga mimba???duh muambie tu jamaa kuwa hiyo idadi inatosha kwa kweli apumzike sasa na alee watoto.
Sasa utaweza kumudu majuku yote ya nyumbani kupika, kufua, usafi, na n.k basi fanya mpango wa house boySwala la hg sitaki hata kulisikia lilishanitokea sitaki kurudia kosa kabisa
Pole sana,tafuta sasa wa kiume wa kukusaidia kazi usitafute wa kike.Jamaa yako hana aibu kosa huwa mara moja tu zaidi ya hapo ni makusudiBaada tu ya Miezi 6 ndani ya ndoa nilisafiri kwa wiki 2 . Niliporudi mume kansmbia nimpe nauli hg arudi kwao ufanisi umeshuka. Badae nikaambiwa namajirani kuwa hg yu mjamzito
Wa pili pia nilisafiri na watatu vilevile. Na wote hao nilipomuuliza mr alikubali kuwa ni kweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu acha tu kuna mmoja alikuja kwangu alikuwa modo hatari chuchu mchongoma yani dah shetani ashindwe na alegee yani sijui nisemeje ila dah embu tuyaacheTunakujaga tuchafu tuchafu ila kakishaoga maji vizur na kula vizuri kakapaka mafuta unakaona kananawiri balaa hahaaa na vichuchu vile bas majanga matupu. Mie huwa nasali sana kwakweli sijajaribu ila mawazo huwa yananijia shetani mbaya sana
Fanya unitafute tumlipizie .. haiwezekani akushushe vyeo na kukunyanyasa kiasi hichoKweli
Pole my wangu 😥Yaan unamtendea wema kama binti yako, inauma sana. Mi nimejeruhiwa sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu acha tu kuna mmoja alikuja kwangu alikuwa modo hatari chuchu mchongoma yani dah shetani ashindwe na alegee yani sijui nisemeje ila dah embu tuyaache
Pole sana, pengine mwingize kwenye maombi.Nimefurahi kusikia kuwa sio wanaume wote. Ni mimi tu nina bahati mbaya kupata wa ivo. Pia huwa naona kwa majirani zangu wao hili halitokei.
Amen[emoji120]Mkuu uwe hivihivi na Mungu azidi kukubariki tu
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787] iyo siri ya kambi mkuuMalizia tu kwamba ulimtafuna [emoji39][emoji16][emoji16]
Kwa ufupi Ni chaguo lake kama nilichosema.Asante ngoja nijaribu. Je unaweza kunifafanulia kwa ufupi?
Yaah, ila sasa kumpata ambaye hana majukumu ndo kaziIli kujizuia, ni bora kutafuta ndugu wa kike wa mwanamume kwa ajili ya kusaidia kazi. (hapa sio rahis kumgegeda ndugu yake ingawa pia inawezekana, maana watu washakula dada zao, shangazi na mama wadogo) ila ni afadhali
Miye sio mtu wa visasiFanya unitafute tumlipizie .. haiwezekani akushushe vyeo na kukunyanyasa kiasi hicho
AsantePole my wangu 😥
As ante naendelea na maombi pia nafanyia kazi ushauri mzuri ninaopewa mf kuchukus houseboy badala ya housegirl au kuishi na ndugu.Pole sana, pengine mwingize kwenye maombi.