GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Yaan hao ndo viswala vitamu kabisa vile vinatia uchuHao ndo hawajielewi kabisaaa
Bora hata angesema utafute wale wamama wabibi wabibi au watu wazima wanaokuja na kuondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hao ndo viswala vitamu kabisa vile vinatia uchuHao ndo hawajielewi kabisaaa
Anao watoto wengi tu. Hao wataendelea kufaidika na kuendeleza jina hukohuko walipo. Sikweli kuwa ni wake au mke mwenzangu, kuzaa na mwanaume hakumfanyi mwanamke kuwa mke na ndo maana kuna single mothersSasa nao si watoto wako yan wa mke mwenzio itabidi uwafatilie mana ukoo wa mzee unapotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787a
Kazi ndiyo imekuponza ,umepata hela lakini umeuza ndoa.pole sana dada yangu!Idadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.
Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.
Chagua safari au mumeIdadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.
Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.
Hawa wanawake wa kusafiri mara nyingi wanapenda pesa kuliko kujali familia na huwa na nyodo sanaNadhani mazingira yako yamechangia kwa asilimia kubwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio wanaume zetu hawa
Nikifikiriaga hivi kuhusu house girl tumbo linakata kabisa
Maombi.....As ante naendelea na maombi pia nafanyia kazi ushauri mzuri ninaopewa mf kuchukus houseboy badala ya housegirl au kuishi na ndugu.
Asante kwa ushauri. Niliwahi kuchukua wasichana wakubwa wenye umri zaidi ya 20 na wenye watoto pia wameachika kwenye ndoa zao. Hao pia wanajielewa na wameshatia akili na hawakuwahi kupata janga hiloYaan hao ndo viswala vitamu kabisa vile vinatia uchu
Bora hata angesema utafute wale wamama wabibi wabibi au watu wazima wanaokuja na kuondoka
Tatizo linaanzia kuchagua mume jinga .mi mke wangu kaniletea ma hausigel zaidi ya 7 hata majina sipajui achana na kuwatamaniUshare usijue sio ushare na mtu ndani ya nyumba hiyo ni zaidi ya dharau
Sio kweli kuwa anafanya kila kitu. Labda kama sipoDuuh inasikitisha sana,male tuwe na huruma kidogo na kuwachukulia kama watoto wetu,ila na nyie wanawake mnazidi kila kitu anafanya house girl..........unakuwa kama lisanamu tu nyumbani......marriage siyo sex tu,ni beyond that.......timiza wajibu wako kama mwanamke aliyeolewa
Kwanza unapata Muda saa ngapi kukaa Unaongea na hg. MmhTatizo linaanzia kuchagua mume jinga .mi mke wangu kaniletea ma hausigel zaidi ya 7 hata majina sipajui achana na kuwatamani
😀Anao watoto wengi tu. Hao wataendelea kufaidika na kuendeleza jina hukohuko walipo. Sikweli kuwa ni wake au mke mwenzangu, kuzaa na mwanaume hakumfanyi mwanamke kuwa mke na ndo maana kuna single mothers
Dooh, pole sana dada.Hao ndo hawajielewi kabisaaa
Punguza safariIdadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.
Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.
ni pm nikushauri vizuri hapa watu wataiga mfanoIdadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.
Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.
Pole sana,tafuta sasa wa kiume wa kukusaidia kazi usitafute wa kike.Jamaa yako hana aibu kosa huwa mara moja tu zaidi ya hapo ni makusudi
Pamoja na yote hayo nakuvulia kofia kuwa wewe ni wife material. Jaribu kumsupply K kiroho mbaya atatuliaAnao watoto wengi tu. Hao wataendelea kufaidika na kuendeleza jina hukohuko walipo. Sikweli kuwa ni wake au mke mwenzangu, kuzaa na mwanaume hakumfanyi mwanamke kuwa mke na ndo maana kuna single mothers
Yote kheri..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa shunie amesema hataki tena kusikia binti wa kazi mana wababa wenyewe ndio hawa wanataka kula tuswala tunaowasaidia kazi kina shunie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuwa mwanaume raha sana
Babe njoo kwangu, mimi siwezi kibisa hata kumtamani housegirlYaani mtu unamchukua kwa uzuri akusaidie anakuwa mke mwenzio mimi sitaki kabisa kusikia kuweka house girl