Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Ibrahim aliambiwa na Mungu amuondoa kijakazi Hajir alipopata ujauzito wa boss. Sababu hasa ni kuepusha mauaji au migonganoHapa ndo mnakosea mnafukuza hg na mimba ya boss, mnawarudisha vijijn wanahangaika wazazi wa binti, kna mwingne alirudishiwa iv iv had bint alipojifungua lol.
Huo utamu unaishaga, hawana tofauti na wanawake wengine bossNASEMA BEKI 3 NI MTAMU ASWA KAKIWA NDO KADOGO UNAKABIKINI MWENYEWE
VITAMU KWELI
😂😂😂 nei nei[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hutaki hg wee? Lol
Wanaume akili zetu ndo hivyo sasa kama unasafiri muda mrefu hafu yeye mumeo anakula anashiba na anayempikia nae anazidi kunona unategemea nn? Nakusahuri utilize kichwa ukijifanya kuwaza sana unapata pressure na upoteze dira ya biashara zako. Na elewa tu kuwa hautakuja kupata mume wa peke yako, na mumeo nae hana adabu ameshindwa kupiga mzigo huko nje, wasichana wamejazana hawana hata wakuwazibua masikioIdadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.
Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.
Kwa taarifa yako kesi yangu si ya kwanza kutokea. Hata hao unaowaita wake wenza hAwakuoewa mimba kwa siku moja ni miaka inapita ndipo inatokea. Kama ulidhani nitaachana na mume wangu hilo halitotokea utasubiri sana tu maana alichokiunganisha Mungu...utamalizia.Sawa basi yaishe mkuu nimekuelewa kua unamjali sana mumeo ila kutafuta pesa nimuhimu kuliko kumuhudumia, pia nimeekuelewela vema tu kua anakupenda sana ndo maana anawapa mimba mfululizo mahouse girl.
Nimekuelewa yaishe nyumba yenu "ina amani" mpaka umepata pressure. Watoto hawajui lolote kwa kua hawana masikio wala macho afu pia mimba inaweza kuwekwa kwenye begi tumbo watoto wasione.
Sawa ushauri wangu sio mzuri sasa hivi ukisafiri nenda kaa huko mwaka mzima swadakta mambo ndo yatakua mazuri.
Ni sawa wewe huna kinyongo hata punje ili uliwafukuza wake wenza huku hutaki wapate mahtaji "wakome watajihudumia wenyewe kulea vichanga visivyo na hatia wewe huna kabisa kinyongo.
Nyumba ina amani tele ila mke yuko kutangaza mapungufu mitandaoni na sasa walimwengu tunatambua "yanayojiri", sawa nimeelewa hongera kwa amani.
Nisamehe mkuu, nimeshakuelewa kua mewe na mumeo ni "magwiji wa ushauri" kwa ndugu na majirani ila wao ndugu na majirani wameshindwa kumshauri mumeo kupachika mahouse girl mimba.
ooh ok nimekumbuka, ndugu na majirani hawajui kua mumeo ni mpachika mimba mahouse girl kwa kua na wenyewe ni kama watoto wenu ok.
( kwa mwanamke anaeweza kuyasema mapungufu ya nyumbani kwake kwenye mpaka kwenye mitandao ila ndugu, jamaa, watoto, majirani wote hawajui) ok
Yaishe nimekuelewa uko vizuri.
Yaan unamtendea wema kama binti yako, inauma sana. Mi nimejeruhiwa sana
Acha kabisa haya mambo uyasikie tu yasikutokee mimi ilishanitokea kwangu kuhusu house girl toka siku hiyo nimesema sitaki house girl kwenye nyumba yangu
Mi nalaumu wote, hasa mume kwa kutojielewa. Ndo mana mabinti wote hao bado ninawasiliana naoYaan unamlaumu binti badala ya umlaumu mmeo
Mmeo ndio wa kulaumiwa
Kweli kabisa. Ila hata yenyewe haijiendeshi. Kwa sasa nafanya kazi mwenyewe tukisaidiana na mr.Hiyo pesa ya kumlipa binti unanunua mashine ya kufulia vitu vimerahisishwa kwa wenye familia
Hamna lolot, mtu mshenzi ni mshenzi tu utakaa nyumbani uchakaee anaenda tembea na vijanafunzi mxiuu! Hapo option ni 2 tu liache kaaanze upya kuliko kuendelea kudhalilika, kama huwez na ww tafuta ka house boy dam inachemka mfanye yenu ngoma droo ila ukikaa uendekeze hawa punda utakufa siku si zako!Mkiambiwa mwanamke afaa akae nyumbani amuhudumie mumewe mnajifanya ooh "wanawake tunaweza" bla bla sasa wewe umeolewa afu unajifanya unajua sana kutafuta hela ooh unasafiri sana pole ila ukome.
Mda wote haupo mume yuko na house girl majukumu yote house girl unategemea nini HATA INGEKUA MIMI NISINGE LAZA DAMU. Pambana na pressure vizuri umevuna ulichndanda.
Hapa mdo huwa wanawake walioolewa wanakoseaga. Kwanza kwa vyovyote vile huyu msaidizi wa ndani hasa walio wengi walikosa fursa ya kujiendeleza kimaisha aidha kutokana na family background ikiwa labda ni umaskini au kukosa mtu wa kumwonyesha mwelekeo wa maisha. Tatizo linakuja kwa baadhi ya maboss wao ambao ndo hawa wamama walioolewa. Kutumia ukosaji wa huyo binti kama fimbo ya kumuadhibu. Mosi wanawaona kama wao sio watu wenye hadhi na kustahili heshima na faraja. Marsa ooh kanenepeana alikuja kakondeana mchafu sijui hili na lile. Umemuona kabisa katoka kijijini mlo wa shida kwanin akila mwili usitoe ushirikiano na mlo? Sasa hapo kwenye kazi. Binti wa watu ndo wa kwanza kuamka na wamwisho kwenda kitandani. Na wengine nasema sio wote wamekuwa wakifokewa hovyo hovyo tu. Hajamaliza hiki kaagiziwa kazi nyingine afu mama ambaye ndo boss amekaa tu anachezea simu. Hivi kuwa msaidizi maana yake mnashirikiana kufanya kazi pamoja? Chombo kimevunjika ambapo hata ,wanao anaweza kukivunja au hata wewe mwenyewe ushavunja vyombo je mumeo anakukaripia kama ufanyavyo kwa house girl? Honestly kuna mazingira huwa naangalia na kuwaonea huruma. By the way hatunaga housegirl for number of years.Kuna faida ya kutokuwa na Housegirl, hasa jikoni unaweza kumnunulia mkeo vifaa vya kisasa kama electrical pressure cooker akaitunza na kuithamini ikadumu. Mara nyingi nyumba ambazo HG ndiye dereva wa household, vifaa vya ndani hata vitu kama vijiko au glass ni majanga. Unaweza kuta haina hata glass moja ya kunywea maji, zote zimevunjika na hasemi
Baas boss awajibike kwa matunzo na malezi, sio kuwaachia wazaz wa binti, ni vibaya San.Hata Ibrahim aliambiwa na Mungu amuondoa kijakazi Hajir alipopata ujauzito wa boss. Sababu hasa ni kuepusha mauaji au migongano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora shem amlete, nkuone utafanyaje?[emoji23][emoji23][emoji23] nei nei
Mpotezee mbaba huyoooo.....mdharau mpk ajue unamdharau!!!Idadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.
Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.