Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ndo wababa wa ulipo tupo Kama hatupo basi twaja..🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu wababa wabaya sana yani hapa kila mbaba akisema aanze kutoa stori jinsi alivyowakula hawa mabeki tatu nadhani huu uzi utafungwa chapu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndivo navofanyaga. Ni kweli bossUkishajua unafukuza tu atajua mwenyewe na aliyempa mimba , wewe unaendelea na maisha yako . Maisha mafupi Sana usijipe stress.
Mwaka umeisha sasa sijaweka binti na sitegemei kuweka nimekomaNa ukiwa na mwanaume mwenye tabia hiyo usiweke msichana kabisa.
Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijiniMkiambiwa mwanamke afaa akae nyumbani amuhudumie mumewe mnajifanya ooh "wanawake tunaweza" bla bla sasa wewe umeolewa afu unajifanya unajua sana kutafuta hela ooh unasafiri sana pole ila ukome.
Mda wote haupo mume yuko na house girl majukumu yote house girl unategemea nini HATA INGEKUA MIMI NISINGE LAZA DAMU. Pambana na pressure vizuri umevuna ulichndanda.
Kuna faida ya kutokuwa na Housegirl, hasa jikoni unaweza kumnunulia mkeo vifaa vya kisasa kama electrical pressure cooker akaitunza na kuithamini ikadumu. Mara nyingi nyumba ambazo HG ndiye dereva wa household, vifaa vya ndani hata vitu kama vijiko au glass ni majanga. Unaweza kuta haina hata glass moja ya kunywea maji, zote zimevunjika na hasemiSwala la hg sitaki hata kulisikia lilishanitokea sitaki kurudia kosa kabisa
Shukuru kwakuwa amekubali kubeba jukumu, watoto ni baraka, watunze hao watoto bila kinyongo utabarikiwa.Baada tu ya Miezi 6 ndani ya ndoa nilisafiri kwa wiki 2 . Niliporudi mume kansmbia nimpe nauli hg arudi kwao ufanisi umeshuka. Badae nikaambiwa namajirani kuwa hg yu mjamzito
Wa pili pia nilisafiri na watatu vilevile. Na wote hao nilipomuuliza mr alikubali kuwa ni kweli.
Kweli kabsaa. Upo vizuri bossMtu ufanye ujinga wote, lakini kumlala binti wa kazi, hapana aisee. Anakusaidia kulea watoto, anakuangalizia nyumba mkiwa hampo, anapika, anafua na jinsi tunavyoishi nao ni kama watoto/wadogo zetu. Binafsi nipo against na hii kitu, tafuta mwanamke mwingine huko sio ndani ya nyumba.
Kweli jamaa kadata mi sijaelewa anataka dela jipya au chupi la zamaniOngeza nyama kwenye maelezo yako
Tafuta under 18Yaani mtu unamchukua kwa uzuri akusaidie anakuwa mke mwenzio mimi sitaki kabisa kusikia kuweka house girl
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa shunie amesema hataki tena kusikia binti wa kazi mana wababa wenyewe ndio hawa wanataka kula tuswala tunaowasaidia kazi kina shunie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuwa mwanaume raha sanaSisi ndo wababa wa ulipo tupo Kama hatupo basi twaja..[emoji1787][emoji1787]
Wanaume wachache sana ambao hawana tabia ya kuwala wadada wa kazi wengi wao majanga tuNa ukiwa na mwanaume mwenye tabia hiyo usiweke msichana kabisa.
Hao ndo hawajielewi kabisaaaTafuta under 18
Sasa nao si watoto wako yan wa mke mwenzio itabidi uwafatilie mana ukoo wa mzee unapotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijini
Wewe ndo hujui kabisa huto tudogo ndo tukichipukia tunanawiri balaaaTafuta under 18
Sikulijuaga hili hadi nilipoolewaWanaume wachache sana ambao hawana tabia ya kuwala wadada wa kazi wengi wao majanga tu