Una hakika mumeo hakuchukua namba kwaajili ya mawasiliano na watoto wake tarajiwa huko mbele mbele?Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijini
Huyo mume akikuletea UKIMWI, hayo mambo unayojivunia utayafurahia vipi tena? Kupanga ni kuchagua, zingatia hilo.Uzuri hilo halinistui kama anaendelea hivo ni kwa kificho sana wala halinipi shida kabisa. Anayepata shida ni yeye. Miye ninaendelea kuishi bila stress wala pressure yoyote ukizingatia kila kitu ninacho mume yupo, nyumba nzuri, magari mazuri, mashamba na takataka zozote zinazowatesa watu kuzitafuta. Miye nimebarikiwa sivyo kama unavozani. Hizo ni changamoto ambazo kila mtu ana zake
Maisha gani hayo ya kufurahia mume kupiga mimba ma house girl? Labda kama nawewe unapigisha huko nje unapoenda kwenye safari zako, hapo ngoma "draw" na furaha lazima iwepo tu.Ushauri wako si wa kujenga. Kuolewa au kuoa ni haki ya kila mwanamke na mwanaume. Pia we wajua mahitaji ya mwili ni pamoja na hilo.
Huwezi amini kama kuna mtu anaishi bila kinyongo na mwanamke au mtu yeyote duniani ni mimi. Na ndo maana hadi leo nipo na mume wangu na ninaamini ananipenda sanaaa tu. Haya nimeyaweka huku ili kupata maoni ya wengine tu.
Watoto wangu nipo nao karibu sana na haya yanayotokea kwa ma hg wala hawayajui. Huwa tunayamaliza na baba yao faraghani sana. Watoto wapo vizuri sana maana wanapata upendo wa baba na mama.
Kwa taarifa yako nyumba yangu au maisha ninayoishi mimi na familia yangu ni ya amani na furaha kiasi kwamba majirani na watu kutoka sehemu zingine na ndugu zetu wengine wanakuja kuomba ushauri.
Ukiendelea na ujinga wa namna hii wa kutetea ubaradhuli wa mumeo, basi na ataendelea kukupiga matukio hadi uchanganyikiwe zaidi. Kuna siku atapita na mdogo wako kabisa ndio akili itakukaa sawa.Kwa taarifa yako kesi yangu si ya kwanza kutokea. Hata hao unaowaita wake wenza hAwakuoewa mimba kwa siku moja ni miaka inapita ndipo inatokea. Kama ulidhani nitaachana na mume wangu hilo halitotokea utasubiri sana tu maana alichokiunganisha Mungu...utamalizia.
Sina pressure wala magonjwa yoyote yale yasiyoambukiza, nimeleta hapa ili nisikie maoni yenu. Inaonesha weye huna hata mke ndo maana unatoa maoni ya kipuuzi na yaliyojaa chuki na wivu.
Mjadala nimeufunga. Asante
Afrika kuna maajabu ya dunia mengi sana, ni suala la muda tu ili kuyaibua.Aseeeh.
Dah
Naomba nikujibu kwa herufi kubwa.Kwa taarifa yako kesi yangu si ya kwanza kutokea. Hata hao unaowaita wake wenza hAwakuoewa mimba kwa siku moja ni miaka inapita ndipo inatokea. Kama ulidhani nitaachana na mume wangu hilo halitotokea utasubiri sana tu maana alichokiunganisha Mungu...utamalizia.
Sina pressure wala magonjwa yoyote yale yasiyoambukiza, nimeleta hapa ili nisikie maoni yenu. Inaonesha weye huna hata mke ndo maana unatoa maoni ya kipuuzi na yaliyojaa chuki na wivu.
Mjadala nimeufunga. Asante
Ndio wanaume zetu hawa
Nikifikiriaga hivi kuhusu house girl tumbo linakata kabisa
Yani yupo kama zombie.Mumeo hafai hata kulumangia,hivi unamuuliza anakubali kirahisi tu kwamba ni kweli kawatia mimba hg 3??? Kwanza anakuchuliaje
Nasikitika kukwambia ukweli Huyo mwanaume hakuheshimu na hiyo tabia hawezi kuacha,usipoweka hg,atatembea hata na ndugu zako wakike wadogo watakaokuja kukutembelea,akiwakosa atatembea hata na binti yako wa kumzaa kama unaye!!!!!
Mwanaume katili sana huyo,imagine anambaka hg akipata mimba mnafukuza mnaleta mwingine anambaka tena na huyo na mwingine tena!!
Akili kumkichwa madam!!!!
Ndo mwenyewe anaona anapata amani.Hukufanya sahihi ki ukweli.
Miye kwa sasa nimegeuka hg mwenyewe kwa ajili ya woga. Nipo bize ka mwehu
Nimefurahi kusikia kuwa sio wanaume wote. Ni mimi tu nina bahati mbaya kupata wa ivo. Pia huwa naona kwa majirani zangu wao hili halitokei.
HeheyeheheHata Ibrahim aliambiwa na Mungu amuondoa kijakazi Hajir alipopata ujauzito wa boss. Sababu hasa ni kuepusha mauaji au migongano
ππππππππππππππππππππππππππππππππππππKweli kabisa. Ila hata yenyewe haijiendeshi. Kwa sasa nafanya kazi mwenyewe tukisaidiana na mr.
ππππππππYaan unamtendea wema kama binti yako, inauma sana. Mi nimejeruhiwa sana
Heheheh si ulikuwa unajitia nyodo za kuchoka πππ sasahivi tunda unatoa bila usumbufu eeh?Swala la hg sitaki hata kulisikia lilishanitokea sitaki kurudia kosa kabisa
Naomba nikuulize swali kama hutojali!ππππππππ
Bado mama, endelea na Mr.
Bado havijakolea.
Huyo hata mie ningetafuna tu πππ!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu acha tu kuna mmoja alikuja kwangu alikuwa modo hatari chuchu mchongoma yani dah shetani ashindwe na alegee yani sijui nisemeje ila dah embu tuyaache
Kwa akili ya huyo mwamba hata ukimletea ndugu yako wa kike lazma atamla tu tena itakuuma mara 1000 ukija kujua. Acha hio akili bora umletee Mercury tu.As ante naendelea na maombi pia nafanyia kazi ushauri mzuri ninaopewa mf kuchukus houseboy badala ya housegirl au kuishi na ndugu.
Hao wanatafunwa vizuri tu labda wawe wanashea ziwa. Ila kama mama tofauti yani wanamiminiwa lava kama kawa π! Huyo mwamba ni "ki BOLOIKA"Ili kujizuia, ni bora kutafuta ndugu wa kike wa mwanamume kwa ajili ya kusaidia kazi. (hapa sio rahis kumgegeda ndugu yake ingawa pia inawezekana, maana watu washakula dada zao, shangazi na mama wadogo) ila ni afadhali