Pia watu wa Posta/TRA hawazijui hizi simu za kichina so ni rahisi kuweka value ya chini na wasizishtukie,Nafikiri wanaangalia value yaani kama mzigo umefikia kiasi fulani wakutoze kodi Sema tu sellers wanatusaidia kiaina kwenye invoice ya mzigo husika kwa kuandika bei ya chini tofauti na Ile bei halisi uliyonunulia so why tunapita kulia, ila TRA wakistukia na kuamua kufungua ili wa-valuate wenyewe hapo huchomoki
Je wanauza na accessories nyingine kama screen s, chargers, earphones na battery za Xiaomi?Wapo vizuri duuh mpaka simu ya milion wanayo
Angalia expected delivery time, mimi nilinunua ukatumwa tarehe 23/04 expected delivery time ni May 29 - June 18Nimechoka subiria mzigo doh
Nimeagiza tarehe 27/04/2019, Ukatumwa tarehe 03/05/2019 siku hiyohiyo trackinhmg ikasema " accepted by airline" mpk leo hakuna mabadiliko[emoji3][emoji3][emoji16] ina maana kwenye shirika la ndege wamepokea alafu hawa ship mwezi sasa kasoro siku 3?
Alafu wadau sisikii mkiagiza
Gearbest
Banggood
naona kwa Ali tu. Kuna utofauti?
Tatu ipi fast shipping? Nimekuja gundua kuna
Aliexpress standard shipping
China airmail
Singapore mail
Nk nk
Guys nataka kujua box la posta hapa dodoma ambalo naweza kutumia kuagizia bidhaa
Bei ya Redmi note 7 pro ni bei hadi kukufikia mkononi ni ngapi....nimesahau
Mkuu bwana nirahisishie hapa...watu tunaegemea free basic huku..ooohAliexpress mkuu kila kitu kipo wazi
Mkuu bwana nirahisishie hapa...watu tunaegemea free basic huku..oooh
Unaweza kupata Redmi note 7 tu maana Redmi note 7 pro ni Chinese version only haziuzwi nje ya China bossBei ya Redmi note 7 pro ni bei hadi kukufikia mkononi ni ngapi....nimesahau
Weka tu zote unazofahamYenye ukubwa gani??
Sawa mkuuUnaweza kupata Redmi note 7 tu maana Redmi note 7 pro ni Chinese version only haziuzwi nje ya China boss
Weka tu zote unazofaham
Weka tu zote unazofaham
Zipo global ROM kwaajili ya soko la nje ya china.Unaweza kupata Redmi note 7 tu maana Redmi note 7 pro ni Chinese version only haziuzwi nje ya China boss
Shaffin Simbamwene phone case jaribu hii ndo natumia mimi ni imara sana, haizidi 15K hadi kuipata
Yaani rangi tu inatofautisha bei, sijui kwa nini. Black ndo bei rahisi6+128 naona ni 540,000-585,000 kutokana na rangi..