Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Zipo, ila inahitaji umakini mkubwa kwenye utafutaji. Maana unaweza ukadhani umepata 18W fast charger kumbe umeuziwa fake (famba) itakayoweza kuleta athari kwenye simu yako.Ndugu nikitaka ya haraka naipata vipi hapa Kariakoo au hadi niagize?
Sent using Jamii Forums mobile app