CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Laiti haya mambo yangekuwaga na uchunguzi wa kina tungegunduaga mambo ya ajabu sana , sasa the talk of the town huko libya ni kwamba Biashara utd ilihongwa pesa nyingi sana ili watafute kisingizio kwa namna yoyote ile wasifike libya na kupoteza mechi.
KUANZIA MECHI YA SIMBA NA YA WALIBYA KUNA WATU KAMA VYOMBO VYA SERIKALI VIKIAMUA KUANGALIA MOVEMENTS YA PESA KWENYE ACCOUNTS,SIMU AU KU-TAP(KU TREPU) SIMU ZAO WATASHANGAA SANA SIYO KWA VIONGOZI HADI WACHEZAJI WALIOHUSIKA JANA NA WALE KINA MURA WA MUSOMA
KUANZIA MECHI YA SIMBA NA YA WALIBYA KUNA WATU KAMA VYOMBO VYA SERIKALI VIKIAMUA KUANGALIA MOVEMENTS YA PESA KWENYE ACCOUNTS,SIMU AU KU-TAP(KU TREPU) SIMU ZAO WATASHANGAA SANA SIYO KWA VIONGOZI HADI WACHEZAJI WALIOHUSIKA JANA NA WALE KINA MURA WA MUSOMA