Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana roho mbaya tu. Huyo hawezi kuishi na hata wadogo wa mumewe au mama mkwe wakeYaan mwanaume kuwa na mtoto ndo iwe sababu ya kuachana? Huyo dada hana akili
26 kwa kipindi kileHuyu 'dada' ana umri gani?
Soma vizuri nimesema alivyokutananae alipiga simu home akawaambiaTena chekechea za zamani. Siku hizi wana akili na hawawezi kuamini. Uvamie tu mtu njiani eti huyu mtoto kafanana na fulani na uamue kufuatilia! Tena mtoto mdogo! Umri ambao unaweza kuhisi ni mtu anapokuwa mtu mzima. Kwenye age ya utoto siyo rahisi uone mtoto ambae hata humjui eti anafanana na ndugu yako na uchukuwe uamuzi wa kupeleleza!
Kwa kipindi kile ni 5 years.Kuanzia pale kwenye kumfananisha mtoto na kaka yake.[emoji28][emoji28][emoji28]
Mtoto ana miaka mingapi?
Soma vizuri alienda mwanza kuna kazi walikuwa wanafanya huko mwanza. Soma vizuri uelewe.Just imagine mtu anatoka hapa anapanda Basi mpaka mwanza, anaenda mpaka mitaa aliyokua anaishe mdogo wake kipindi anasoma ili akamfananishe mtu........au basi
Ila dada yangu yule anajutia sana kwa tukio kile mpaka leo. Kihelehele chake cha kutoa taarifa.Mtoto ambae mwanaume hakumjua!! Na hata angekuwa anamjua kazaliwa kabla ya mahusiano yao,, binti bado mtoto hajakutana na wanaume wenye kupiga matukio mazito,, wifi na mamkwe wako sahihi ukitaka kujua km wako sahihi vaa viatu vyao,
mwanaume/dogo fala sana nae akili zake bado
Hana msimamo tu siwezi kujuta kwa vitu vidogo km hivyo mimiIla dada yangu yule anajutia sana kwa tukio kile mpaka leo. Kihelehele chake cha kutoa taarifa.
Ila dear hapa makubaliano yamevunjwa, but mke ilibidi atumie busara tyuuh.Mtoto ambae mwanaume hakumjua!! Na hata angekuwa anamjua kazaliwa kabla ya mahusiano yao,, binti bado mtoto hajakutana na wanaume wenye kupiga matukio mazito,, wifi na mamkwe wako sahihi ukitaka kujua km wako sahihi vaa viatu vyao,
mwanaume/dogo fala sana nae akili zake bado
Upo sahihi kbsa mkuuHuyo binti hastahili kuwa mke wa mwanaume yeyote. Kama anafikia hatua ya kujisababishia miscarriage kumpa sumu mumewe ni dakika sifuri
😂😂😂Kwamba amkatae mtoto kisa makubalino yao ya kitoto kitoto?Ila dear hapa makubaliano yamevunjwa, but mke ilibidi atumie busara tyuuh.
Hats ukiikana si inabaki kuwa damu yako tu, so kuna tatizo gani ukiikana kwa lengo la kuokoa ndoa?Hii mbona kama umeitunga na huyo jamaa ni boya ukane damu yako kwa sababu ya mke ambaye anaweza kuacha muda wowote ila mtoto atabaki kuwa damu yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa angefanyajee, si walikubaliana jamani[emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba amkatae mtoto kisa makubalino yao ya kitoto kitoto?
Na is hatoweza tayari myMtoto ambae mwanaume hakumjua!! Na hata angekuwa anamjua kazaliwa kabla ya mahusiano yao,, binti bado mtoto hajakutana na wanaume wenye kupiga matukio mazito,, wifi na mamkwe wako sahihi ukitaka kujua km wako sahihi vaa viatu vyao,
mwanaume/dogo fala sana nae akili zake bado
Soma vizuri nimesema alienda mwanza kikazi , na mdogo wake alisoma chuo miaka mitatau mwanza.Nikweli mlikuwa mnajua kila kitu..Ni uongo kusema eti Dada yenu alikuwa anazurula akakutana na mtoto anafanana na kaka yake.. uongo uongo