Walikubaliana kuaona wakiwa hawana watoto kumbe mwanaume alikuwa na mtoto bila kujua, ndoa ikavunjika!

Nikweli mlikuwa mnajua kila kitu..Ni uongo kusema eti Dada yenu alikuwa anazurula akakutana na mtoto anafanana na kaka yake.. uongo uongo
Na huyo mtoto alimkuta karibu na chuo alipokuwa anasoma mdogo wake.
Sio alitoka huku kwao na kwenda kuzulula mwanza
 
Tuambie kwanza, yule kijana umempa mbususu?
 
Ndoa siku hizi zinavunjika sana me na mshkaji wangu mimemsimamia ndoa ya mwaka juzi dec na mwaka huu Jan imevunjika
Na walikuwa uchumba miaka 10
 
😂😂😂Kwamba amkatae mtoto kisa makubalino yao ya kitoto kitoto?
Najua ungekuwa wewe wala usinge vunja ndoa eti kisa mumeo ana mtoto na hakukuambia. Huyo binti ana utoto mwingi
 
Mwanamke ana matatizo ya akili, lakn pia wif zake wana pupa sana
 
Hats ukiikana si inabaki kuwa damu yako tu, so kuna tatizo gani ukiikana kwa lengo la kuokoa ndoa?
Halafu ikitokea huyo mke uzao unagoma unahangaika kuitafuta damu uliyoikana!
 
Najua ungekuwa wewe wala usinge vunja ndoa eti kisa mumeo ana mtoto na hakukuambia. Huyo binti ana utoto mwingi
Siwezi kufanya huo ujinga,, navunjaje ndoa kwa mtoto mkubwa kuzidi mahusiano

Inahitaji akili ya kipuuzi aisee
 
Halafu ikitokea huyo mke uzao unagoma unahangaika kuitafuta damu uliyoikana!
Uhusiano wa damu haupotei kwa mtu kuukana, biological atabaki kuwa baba wa mtoto. Kukana ni kitendo cha kumtaa kwa maneno kuwa si mwanae. Ila mwenye akili anaweza kumkataa na kisha akamhudumia kama mwanawe, mtoto mwenyewe ataona kuwa baba alichofanya pale ilukuwa ni kuishi kwa akili na wanawake. Unadanganya pasipo kumaanisha
 
Damu yako hata ikiwa mbali kuna mazingira itarudi katika namna usiyo tarajia, njia za Mungu hazichunguziki
 
Cna maisha ila napambana xo kesi afe beki au goalkeeper mwanangu hata akiwa chini ya maji nitashuka kumfuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…