WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
mimi nipo tabora nataka kufanya kazi nje na tabora kwa sababu mi mzaliwa wa mkoa huu hivyo nataka nifanye kazi nje ya mkoa wangu nipo tabora vijijini km 26 kutoka tabora mjini,usafiri wa uhakika upo lipo basi nauli sh 2500 hadi tabora mjini.

Kwa mwenyeji wa tabora nipo barabarani kuelekea ulambo, nafikiri nitakuwa nimeeleweka vizuri.
 
Sasa mmepata kazi mnaanza mbwembwe za kutaka kuhama. Kwan tayari umeripoti uliko pangiwa?
 
Mwalimu wa shahada kapangwa kureport wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro anatafuta mwalimu wa kubadirishana naye kutoka mikoa ya Njombe, Iringa and Mbeya. Kwa mawasiliano tafadhari Twanga 0756 044 482
 
mimi nipo tabora nataka kufanya kazi nje na tabora kwa sababu mi mzaliwa wa mkoa huu hivyo nataka nifanye kazi nje ya mkoa wangu nipo tabora vijijini km 26 kutoka tabora mjini,usafiri wa uhakika upo lipo basi nauli sh 2500 hadi tabora mjini.
kwa mwenyeji wa tabora nipo barabarani kuelekea ulambo.
nafikiri nitakuwa nimeeleweka vizuri.

26km....fair 2500tsh...unfair kabisaaa!
 
Jamani, mm ni mwl wa shahada (BSc Ed). Nimepangiwa Dodoma mjini, Bihawana secondary. Natafuta mtu wa kubadilishana naye ili mm niende Mbeya. Tuwasiliane kupitia 0764860999.
 
mimi nipo tabora nataka kufanya kazi nje na tabora kwa sababu mi mzaliwa wa mkoa huu hivyo nataka nifanye kazi nje ya mkoa wangu nipo tabora vijijini km 26 kutoka tabora mjini,usafiri wa uhakika upo lipo basi nauli sh 2500 hadi tabora mjini.
kwa mwenyeji wa tabora nipo barabarani kuelekea ulambo.
nafikiri nitakuwa nimeeleweka vizuri.

UnatAka kuja DSM?
 
Jaman, mm ni mwl wa shahada, nimepangwa dodoma mjin. Kama kuna mwl yeyote aliyepangwa Mbeya na anataka kurudi Dodoma, naomba tubadilishane ili mm nitoke Dodoma kwenda Mbeya. Kwa maelezo zaidi, tuwasiliane kupitia 0764 860 999 /0714 558 793
 
Natafuta mwalimu wa shule ya msing kubadilishana naye awe morogoro,temeke au kibaha mi mwalimu wa shule ya msingi nipo lushoto tanga.
 
Mwalimu wa shahada amengiwa karagwe kagera. Anatafuta mtu wa kubadilishana nae kwa mikoa ya Arusha, kilimanjaro or Manyara!
Ni pm
 
Kuna mwalimu kapata bukoba anatakakubadilishana naye yeye anatakaBagomoyo au Dar.
 
Ni mwalimu wa primary nipo mkoa wa Mwanza natafuta m2 wa kubadilishana nae kutoka wilaya za mkoa wa Dar na wilaya za Kibaha au mkuranga kwa mkoa wa pwani. Aliye tayari ani PM.
 
Wana bodi habari
Natafuta mtu ambaye yupo tayari kubadilishana naye awe Mwalimu wa ajira mpya Shule ya Msingi toka Wilaya yoyote kati ya zifuatazo; Mkuranga, Kibaha, Mbeya,Mbarali, Njombe (V), Iringa (V), na Rungwe. Mimi nimepangiwa Tabora wilaya ya Nzega. Kama uko tayari ni PM kwa maelezo zaidi au nipigie kwa 0784 691386
Asante
 
Nipo mwanza sengerema, natufuta mwalim wa grade IIIA natafuta mwalimu wa kubadilishana nae awe anatokea pande za Arusha, Tanga , au kilimanjaro.
Contact: 0767864898
 
Mimi pia natafuta mwl wa sec wa kubadilishana anae wilaya yoyote mikoa ya ya moro,mbeya,tanga,kilimanjaro,pwani iringa na dodoma mjn,mimi niko kiteto manyara.Ahsanteni
 
mimi nafundisha mkoani mara pia natafuta mwl.wa shule ya msingi wa kubadilishananaye kutoka wilaya yoyote mkoani Dodoma kuja wilaya ya serengeti mkoani mara.mob:0756079492,0783194892.asante.
 
Back
Top Bottom