Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Mwenye kuja Bunda-Mara, niende Iringa, njombe, mby, morogoro n.k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not always mtu Wangu sometimes inakaa poa tu,inategemea yupo wapi na wewe upo wapi,after all ni wapenzi,that's only mental reactivity.Mke ndo anamfuata mme,mke wako akujoin huko.Maisha ni popote pale
Njoo Tanga mimi nije kayenzi Morogoro ninaMimi mwlm wa shule ya sekondari Kayenzi iliyoko Manispaa ya Morogoro natafuta mwl wa kubadilishana nae yeye aje Manispaa ya Morogoro mimi niende Manispaa ya Temeke jijini Dar. Nina miaka saba kazin nina TSD na nimethibitishwa kazini. Mwenye interest tuwasiliane pleas
Njoo Tanga nije Kayenzi 0658501069Mimi mwlm wa shule ya sekondari Kayenzi iliyoko Manispaa ya Morogoro natafuta mwl wa kubadilishana nae yeye aje Manispaa ya Morogoro mimi niende Manispaa ya Temeke jijini Dar. Nina miaka saba kazin nina TSD na nimethibitishwa kazini. Mwenye interest tuwasiliane pleas
Kumbe ni mbinu ee! Watu wanashangilia hilo na wanasahau hitaji lao la msingi.