Lakini ndo wanaokufundishia watoto wako mkuu.Naona si lugha nzuri hii uliyotumiaKuwa Mwalimu ni laana, yaani kila kona mna matatizo.
Mkuu nimekutumia ujumbe naomba uuchekiHivi inachukua muda kuweza kuhama , baada ya kuajiriwa (waajiriwa wapya) natamani kuhama nipo Dar es salaam , nataka kwenda Morogoro mjini !
Wadau mkuje kulima pamba hukuNJOO SIMIYU NIJE PWANI, DAR AU MOROGORO, WILAYA YOYOTE
Wadau mkuje kulima pamba huku[emoji1787]NJOO SIMIYU NIJE PWANI, DAR AU MOROGORO, WILAYA YOYOTE
Njoo kilosa mkuuKuna mahala nimeliona
Tangazo: natafuta wa kubadilisha kituo idara ya elimu sekondari aje mbeya mji mdogo wa mbalizi nauli 450/= mpaka mbeya jiji nije morogoro manispaa
Mawasiliano 0717 370274
0625 761228
ndugu mwalim em soma vizur tangazo hilo .........Njoo kilosa mkuu
Kwani mnabadilishana shule au halmashauri?Kuna mahala nimeliona
Tangazo: natafuta wa kubadilisha kituo idara ya elimu sekondari aje mbeya mji mdogo wa mbalizi nauli 450/= mpaka mbeya jiji nije morogoro manispaa
Mawasiliano 0717 370274
0625 761228