Njoo Bukombe_Geita nije Kibaha,Kisarawe,Bagamoyo,Dar.
Bukombe ni jirani kabisa na Biharamulo,Ngara,Kakonko,Kibondo,Chato,Geita Mjini,Mwanza,Kahama na Shinyanga.
Njoo kanda ya ziwa,ule asali,samaki,maziwa na nyama ya ng'ombe.
Njoo Katavi wilaya ya mlele Mwl
 
Walimu wa msingi mnakwama wapi jamani njooni Ruangwa mfaidi fursa... walimu watatu wanatafuta wa kubadilishana nao kutoka mkoa wowote ilimradi isiwe Lindi Mtwara wala Ruvuma... lengo wasogee karibu na nyumbani wana miradi yao, wala siyo kwamba kuna la zaidi


Njoo pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…