Njoo Katavi wilaya ya mlele MwlNjoo Bukombe_Geita nije Kibaha,Kisarawe,Bagamoyo,Dar.
Bukombe ni jirani kabisa na Biharamulo,Ngara,Kakonko,Kibondo,Chato,Geita Mjini,Mwanza,Kahama na Shinyanga.
Njoo kanda ya ziwa,ule asali,samaki,maziwa na nyama ya ng'ombe.
Kibaha,Kisarawe,Bagamoyo,Kongowe (Pwani),Njoo Katavi wilaya ya mlele Mwl
Hahaaaa..umepachoka simiyu..bhageshi.Wanatuzu mkuje kwenu simiyu~maswa aje Morogoro wilaya yoyote,bhabei chyuuu!
Dah ungekuwa Dodoma ungefaa sana.Kwa Niaba: Njoo Halmashauri ya Mji wa Nzega nije Misungwi Mwanza idara secondary science. Aliepo seriuz contact 0765340236