kolongotitu
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 214
- 147
Njoo geita wilaya ya mbogwe nije iringa mafinga idara secondari/masomo geography na historu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kam kuna fursa kibao..mbona unapakimbia...acha hizo..wewe...naona mmeanza siasa kwenye kutafuta wenza wa kubadilisha vituo vya kazi.Mwalimu Njoo Geita_Bukombe,nije Bagamoyo,Kibaha,Kisarawe,Moro Municupal.
Geita_Bukombe ni jirani na;
Katoro_centre ya kibiashara inayokua kwa kasi ya 5G kibiashara,miundo mbinu na makazi
Runzewe_centre inayokua kwa kasi ya 5G,kibiashara na makazi.
Kahama_miongoni mwa wilaya tajiri kwa kanda ya ziwa(dhahabu+biashara)
Chato_dhahabu,biashara,utalii na uvuvi
Geita Mjini-Makao Makuu ya Mkoa_dhahabu,biashara na utalii
Mwanza_Jiji jirani na Geita,Ndio Jiji pekee kwa mikoa ya kanda ya ziwa,fursa ni nyingi Mwanza hazielezeki[emoji95]
Biharamulo_fursa ni kilimo,biashara na ufugaji
Ngara_kilimo,biashara na ufugaji
Kakonko_fursa ni kilimo,biashara na ufugaji
Kibondo_fursa ni kilimo,biashara na ufugaji
[emoji818]Mwalimu toka huko ulipo,njoo Kanda ya Ziwa na maeneo jirani utulize akili[emoji85][emoji3]
Idara_Sekondari (GS/CIVICS &HIST)
Mkuu watu wanahama kwa sababu mbalimbali,hilo la fursa ni upande mmoja,sabubu chache miongoni mwa sababu nyingi zinazojibu swali lako kwann nataka kuhama huko.Sasa kam kuna fursa kibao..mbona unapakimbia...acha hizo..wewe...naona mmeanza siasa kwenye kutafuta wenza wa kubadilisha vituo vya kazi.
#MaendeleoHayanaChama
Ningekuja huko ila simpendi PM alitudanganya jiwe Ni mzima anachapa kazi nikachukia taifa kudanganywa na nikapachukia Ruangwa mazima.Njoo Ruangwa nije ulipo
Watu mna mambo! KaribuNingekuja huko ila simpendi PM alitudanganya jiwe Ni mzima anachapa kazi nikachukia taifa kudanganywa na nikapachukia Ruangwa mazima.
Kama hukupata njoo RuangwaAnayetaka kuja MKoa wa songwe, idara shule ya msingi nataka kuja Mkoa wowote karibia na pwani. Tuwasiliane
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo Ruangwa -Lindi nije hukoNjoo bunda mji,aje kilwa lindi- elimu msingi
Njoo Ruangwanjoo kakonko kigoma nije hapo mtwara
Mkuu hapo kiwira maisha kwa ujumla yakoje gharama za maisha,changamoto n.kNjoo kiwira-Rungwe DC nije Mbeya Dc au Mbeya Jiji,idara sekondari
0623107931