WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Njoo Geita_Bukombe,Njoo kanda ya ziwa,njoo ule samaki,maziwa na asali, nije Dar,Pwani (Bagamoyo,Kibaha,Mkulanga),Morogoro Manispaa.
Geita_Bukombe ni jirani kabisa na maeneo yafutayo;
*Kahama
*Shinyanga
*Chato/Katoro
*Geita Mjini
*Mwanza
*Biharamulo
*Ngara
*Kakonko
*Kibondo
Nauli ya kutoka Bukombe kwenda maeneo tajwa hapo juu ni kuanzia 30,000/= hadi Tsh. 10,000/= tu.
Wasukuma,wahaya,wahangaza,waha,wasumbwa Rudini nyumbani kumenoga.
Idara_Elimu Sekondari (Arts_Gs/Civics &History)
 
Kama unahtaji shule za bording kwa kidato cha 1&4 za serekali hapa mkoani Kilimanjaro wasiliana na mm

Ada range from 600000-750000 per year

Pia form 5&6 kama mtoto wako amepangwa shule ambayo ipo mbali au hujaipenda wasiliana na mm pia nkusaidie

Call 0764616353
 
Kubadilishana kituo cha kazi.
IDARA: ELIMU MSINGI

NILIPO: MOROGORO - MLIMBA DC

NATAKA KWENDA: KIBAHA,
CHALINZE,
MLANDIZI,
MOROGORO MC,
MOROGORO DC,
KISARAWE,
MKURANGA,
KIBITI,
BAGAMOYO,
DAR ES SALAAM.

CONT: 0672 26 26 66 au 0658 06 86 63

INBOX.
WHATSAP:0756353606

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom