MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
26km....fair 2500tsh...unfair kabisaaa!
ndugu anuary, mimi npo mwanza wilaya ya kwimba kama utapenda ningependa tubadilishane..!kama upo tayari njoo Mpwapwa Dodoma, mimi nipo huku.
Tumekusoma Dr...kila la heriMimi pia natafuta mwl wa sec wa kubadilishana anae wilaya yoyote mikoa ya ya moro,mbeya,tanga,kilimanjaro,pwani iringa na dodoma mjn,mimi niko kiteto manyara.Ahsanteni
Sorry me natafuta wa kubadilishana nae aje dodoma mi niende mwanza kama unaweza niunganisha nae get me via 0716082928
Sasa mmepata kazi mnaanza mbwembwe za kutaka kuhama. Kwan tayari umeripoti uliko pangiwa?
njombe vipi.
Singida vipi?
umepangwa kwenye nini?
hupaswi kulaumiwa hata kidogo, tatizo ni mtaala