WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
mimi
ni mwalim ipo almashauli ya kibondo shule ipo km 1 toka makao makuu ya
wilaya namba yangu ya sim ni 0786635312,nahitaji kutoka almashauri za
mkoa wa singida tu

Mwl, tunahitaji tukuelewe nini umeandika maana kidogo haileti maana sababu maelezo hayajitoshelezi.
 
Naitwa mwl omari wa mtwara(tandahimba) naomba kubadilishana kituo na mwl yeyote kutoka wilaya ya mkuranga 0782375646
 
Naitwa mwl omari wa mtwara(tandahimba) naomba kubadilishana kituo na mwl yeyote kutoka wilaya ya mkuranga 0782375646

Kaka mi niko Mahenge-Morogoro, kama utapenda tuwasiliane kwa 0788769910
 
mimi ni mwalimuwa shule ya msingi nafundisha katka wilaya ya shinyanga,natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kaz,kitka mikoa ifuatayo Dar es salaam,pwani, morogoro, arusha au likimanjaro.aliye tayari anitafute kwa simu namba 0757241709.
 
Mimi natafuta wa kubadilishana nae Niko Kisarawe nataka kwenda Lushoto
 
Tafadhari mimi mwalimu wa shule za msingi nipo wilaya ya Bagamoyo natafuta mwalimu wa kubadilishana kutoka wilaya ya Mufindi ambaye anataka kuhamia Pwani na Dar es salaam tuwasiliane kupitia ukurasa huu. Asante.
 
AJIRA MPYA YA WALIMU 2012/13 ORODHA YA WALIMU WALIOBADILISHIWA VITUO
IFUATAYO NI ORODHA YA WALIMU WAPYA WALIOOMBA KUBADILISHWA VITUO VYA KAZI NA KUFANIKIWA KUBADILISHWA. KWA TAARIFA ZAIDI PAKUA AMBATISHO hili..
 

Attachments

TANGAZO!

MIMI MWL. MATAULA WA SHULE YA SEKONDARI BARIADI(MKOA MPYA WA SIMIYU), NATAFUTA MWL. WA KUBADILISHANA NAYE VITUO KUTOKA MKOA WA MOROGORO.

KWA MAWASILIANO ZAIDI, PIGA NAMBA;0652-944454 AU 0718700628.

Barua pepe:- dullymo91@gmail.com
 
Mwl yeyote wa sekondar anayetaka kufanyia kazi Newala naomba abadilishane na Makelemo wanting mawasiliano 0784258125.
 
Nyie ndo wale Shingo zimebeba Matufe badala ya Kichwa, Mzungu anatoka Manhattan unamkua Tandahimba anapiga mzigo nyie mnaleta Ubishoo, ukianza kinyongo mapema lazima upagawe!

Siku hizi hata kazi za kupakatwa zina interview nyie mmepata kazi bila ya Kuandika barua za maombi au Intervw mnaanza kunyanyapaa Wa Tz wenzenu.

Wizara ikomeshe Mfumo huu wa Kubadilishana Vituo inawafanya walimu kupoteza muda kuwaza hili badala ya kupambana na 60% za Dr. Ndalichako chini ya Profesa Baba Ridh.
 
mimi nipo dar, hapa ni sehemu ambayo kila mtu anataka kuja, kama una dau kubwa kidogo nnaweza kuhama,
usisahau dau lako liambatane na shamba la hekari 50
 
Nyie ndo wale Shingo zimebeba Matufe badala ya Kichwa, Mzungu anatoka Manhattan unamkua Tandahimba anapiga mzigo nyie mnaleta Ubishoo, ukianza kinyongo mapema lazima upagawe! Siku hizi hata kazi za kupakatwa zina interview nyie mmepata kazi bila ya Kuandika barua za maombi au Intervw mnaanza kunyanyapaa Wa Tz wenzenu. Wizara ikomeshe Mfumo huu wa Kubadilishana Vituo inawafanya walimu kupoteza muda kuwaza hili badala ya kupambana na 60% za Dr. Ndalichako chini ya Profesa Baba Ridh.

hahahahahahahajhaha! we chiboko!
 
Back
Top Bottom