Tafadhari mimi mwalimu wa shule za msingi nipo wilaya ya Bagamoyo natafuta mwalimu wa kubadilishana kutoka wilaya ya Mtivila ambaye anataka kuhamia Pwani na Dar es salaam tuwasiliane kupitia ukurasa huu. Asante.
mjulishe mwingine maana sio wote wanapita humu.