mimi
ni mwalim ipo almashauli ya kibondo shule ipo km 1 toka makao makuu ya
wilaya namba yangu ya sim ni 0786635312,nahitaji kutoka almashauri za
mkoa wa singida tu
Na wewe ni mwalimu kweli?
Naitwa mwl omari wa mtwara(tandahimba) naomba kubadilishana kituo na mwl yeyote kutoka wilaya ya mkuranga 0782375646
Nyie ndo wale Shingo zimebeba Matufe badala ya Kichwa, Mzungu anatoka Manhattan unamkua Tandahimba anapiga mzigo nyie mnaleta Ubishoo, ukianza kinyongo mapema lazima upagawe! Siku hizi hata kazi za kupakatwa zina interview nyie mmepata kazi bila ya Kuandika barua za maombi au Intervw mnaanza kunyanyapaa Wa Tz wenzenu. Wizara ikomeshe Mfumo huu wa Kubadilishana Vituo inawafanya walimu kupoteza muda kuwaza hili badala ya kupambana na 60% za Dr. Ndalichako chini ya Profesa Baba Ridh.
Uko tayari kuja Urambo? Mi nimepachoka sana.