WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
mm niko mwanga kilimanjaro natafuta mwalimu wa kubadilishana naye
 
mi nipo dar natafuta mtu wa kigoma au sumbawanga tubadilishane nae. mwl secondary
 
habari zenu wana jf.kama wewe ni mwalimu wa shule ya msingi katika mkoa wa Dodoma naungependa kuhama kituo cha kazi kutoka Dodoma kuhamia mkoani Mara kwa kubadishana naomba tuwasiliane.asenteni.
 
Back
Top Bottom