Nipo goweko halmashaur ya Uyui nahitaji kwenda dodoma manispaa kumuuguza mama
Idara ya sekondari
0767290887
Ama wilaya jirani na manispaa
 
Njoo lushoto idara sec niende moro vjjn,moro mjn,kilosa,mvomero na gairo. 0718412841
 

Hata ukizianika tu hizo namba hadi sasa haina shida,umeshapigwa mshikaji. Fuata utaratibu utahama tu kwan walimu wengi wametapeliwa kwa njia hiyo,huyo dada katepeliwa lak8. Mmeshapewa tahadhali epukeni watu kama hao wamo humu humu.
 
KAHAMA - MWANZA.
Mwalimu yuko halmashauri ya mji kahama anatafuta mtu wa kubadilishana nae kutoka mwanza NYAMAGANA/ ILEMELA.

Anaetaka kuhamia kahama mjini kutoka mwanza mjini tuwasiliane
 
 Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo:

0759 92 98 61 au 0763 24 36 24

au 0788 98 35 97
 
Wanaohitaji kubadilishana;

Njoo Tabora - Nzega nije Iringa au Njombe wilaya yeyote(Idara ya msingi)

Njoo Masasi - Mtwara nije Iringa manispaa au Mufindi, Mji Njombe au Mji Makambako na Mbeya Jiji(Idara ya sekondari)

Njoo Njombe - Ludewa nije Iringa wilaya yeyote(Idara ya sekondari)

Njoo Babati - Manyara nije Iringa au Njombe wilaya yeyoye(Idara ya sekondari)

Njoo Njombe - Ludewa nije Sumbawanga au Mpanda(Idara ya sekondari)

Mawasiliano: 0654425007
 
 Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo:

0759 92 98 61 au 0763 24 36 24

au 0788 98 35 97
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…