WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Wsikukatishe tamaa haw vidudumtu sikuhizi hata mtu mwenye bacholor kule kwetu Tukuyu wanafanya kazi za Village Ecxecutive officer. huyo jamaa anaesema hivyo anawezakua hata form four hajafika! utafanikiwa tu huo mpango wa kuhamia Dar.
 
Meo kakimbiaje, rudi hata useme maana ya hilo neno isije kuwa tusi tu maana!
 
heshima kwenu wakuu,natafuta mwalimu wap kubadilisha mi nipo tabora mwl grade 3. mawasiliano kwa aliye tayari 0785854807 0762129759 natanguliza shukrani.

kudalishana kutoka wapi kwenda wapi??/wataka kwenda wapi?? jaribu kuwa specific na post zenu jamani kila siku tunaimba huu wimbo,haya masuala ya calling/texting ni baada ya mtu kuwa amejiridhisha na post husika na kafika maamuzi otherwise ni unnecessary wastage of time and resource kama unafatilia kitu usichokiona.:confused2:
 
We wa ajabu sana! Hivi unatangaza humu? Walimu hawana muda wa kutembelea humu maana mazingira yao magumu sana!!!

wacha dharau hizo!! walimu wa ngazi ipi ambao wewe wasema wana hali ngumu?? maana walimu hata lecturers wa vyuo vikuu ni walimu na tumo humu. It all depend on the exposure,please avoid these stereotypes thoughts:shut-mouth:
 
We wa ajabu sana! Hivi unatangaza humu? Walimu hawana muda wa kutembelea humu maana mazingira yao magumu sana!!!

kungekuwa na kitufe cha kubonyeza dislike ningekibonyeza hadi kidole kiume!!mbona mm ninafundisha shule ya msingi na nimo humu!!!
 
heshima kwenu wakuu,natafuta mwalimu wap kubadilisha mi nipo tabora mwl grade 3. mawasiliano kwa aliye tayari 0785854807 0762129759 natanguliza shukrani.

Mwalimu mwenzangu mbona maelezo yako hayajitoshelezi!?, wewe unataka kuhamia wapi?
 
We wa ajabu sana! Hivi unatangaza humu? Walimu hawana muda wa kutembelea humu maana mazingira yao magumu sana!!!

Nyakati flani muwe mnavitendea haki vichwa vyenu kwa kuviacha vifanye kazi ya kufikiri badala ya kila siku kuyapa jukumu hilo makalio. Shame on you and your kind!
 
Mwalimu wa sekondari aje mwanza mjini(nyamagana)mi niende dodoma mjini.mtu wa dodoma mjini nichek kwenye 0713591791 au 07523152300 au 0786344770.
 
Kinachokutoa huko mwanza ni nin,au umempa mwanafunz mimba ndo unataka kutoroka?
 
Natafuta mwalimu wa shule ya msingi wa kubadilishana nae aje kasuru(kigoma),Mimi napenda kufanya kazi wilaya ya njombe,mfindi,au ludewa kwa mawasiliano piga 0766597333
 
Mi nipo Wilaya ya Musoma vijijini sasa Butiama kwa ambaye yuko Arusha anataka arudi Musoma tuwasiliane.
 
Natafuta mwalimu wa shule ya msingi wa kubadilishana nae aje kasuru(kigoma),Mimi napenda kufanya kazi wilaya ya njombe,mfindi,au ludewa kwa mawasiliano piga 0766597333

Daa bwanae!!!!

Kuna mtu anamtafuta mwalimu(grade IIIA) wa kubadilishana nae yeye yupo dodoma wilaya ya chamwino, yeye anataka aje dsm iwe ilala, kinondoni, temeke, ama hata pwani maeneo ya kibaha, lakn pia morogoro sio mbaya!!!!

Plz ukiwa na newz nistue kaka!!
Ahsante sana!!
 
huu sasa ni u, kama nyie wote anataka kuhama kwa nini msubili huyu muha(wa kasulu) aandike ndio na nyie mchangie?
 
Back
Top Bottom