WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
kuna mwl alikua anataka kubadilishana kituo yy yupo nyamagana mwanza anataka kwenda kigoma mjini. ila anasema atakae hitaji amlipie gharama za kuhamisha vitu vyake!!!!
 
Njoo Mbozi Hlmashauri nije korogwe au morogoro, mwalimu shule ya msingi. 0757644450
 
Kuna rafiki yangu wa kike yeye yupo BUTIAMA anataka Dar, kuna uwezekano wa kupata?
 
Mimi Mwl. Violeth Idara ya sekondari Wilaya ya Rombo natafuta Mwl. wa Kubadilishana kutoka wilaya yeyote ya mkoa wa Mbeya isipokuwa Chunya.
kwa atakayekuwa tayari tuwasiliane #0766807245
 
Wewe mwalim mwenye kutaka kuhama kusini...lindi nà mtwara kuja pwani wilaya ya kibiti fursa ni hii....
Niko tyar kubadilishana nawe kama unaweza hela ...pesa yako tu niko tyar wilaya yeyote....
Mm nipo kibiti wilaya ya kibiti..hapa karbu na dar nauli 40000 tu...
Nitafute kupitia 0683708181 au 065797177-9
 
Niko mwanza kwimba nahitaji kubadilishana na mwalimu aliyeko; njombe, iringa, moro, mbeya au ruvuma, idara ni sekondari, lengo ni kuwa jirani na nyumbani. Kwa aliye tayari ani PM au kama una information tujuzane pm.
 
Anayetaka tubadirishane kituo cha kazi yeye Aje Maswa Simiyu mimi nije Mtwara anitafute kupitia 0766849205, Idara SECONDARY
 
Anayetaka tubadirishane kituo cha kazi yeye Aje Maswa Simiyu mimi nije Mtwara anitafute kupitia 0766849205, Idara SECONDARY
Tusaidiane kutafutiana walimu,mie ningependa kuja simiyu au mkoa wowote ulio karb na singida!kwahyo nkutafutie wa wa mtwara anayetaka kuja simiyu na mie unitafutie wa maswa anayetaka kuja bukoba
 
Mwalimu anaetaka kuja iringa kutoka pwani ya kibaha, mkuranga, bagamoyo, kisarawe tuwasiliane hata wakutoka tanga muheza na korogwe mjini.... 0653795210
 
Back
Top Bottom