WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
njoo arusha nije moro, iringa au mby, idara sekondari. 0787 055538/ 0713 386913
 
Njoo Mtwara manispaa nije Tanga, Moro au Pwani, Idara sekondari 0652112026
 
Natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kaz yeye aje wilaya ya kisarawe mkoa wa-pwani mm niende dar manispaa ya kinondoni kwa aliye tayar tuwasiliane 0714599755 idara msingi
 
hiv mbona watu wa MASWA au SIMIYU kwa ujumla sijaona anaetaka kurudii kwa kutoka MBEYA vip jamani wasukumaa mliopo mbeyaa rudini bhn kwenuu jamaani idara ya sec 0756945368
 
mimi ni mwalimu wa secondary, nafanya kazi iramba singida hapa mjini. Nahitaji mtu wa kubadilishana nae kituo kutoka dodoma mjini au moro. 0716593708
 
njoo halmashauri ya wilaya ya songea nije wilaya ya nanyumbu mtwara idara ya sekondari
 
Anayetaka tubadilishane kituo cha kaz aje kisarawe mkoa wa pwan mimi niende dar wilaya ya temeke,kinondoni,au ilala kwa mawasiliano piga 0714599755 idara msingi
 
habari wadau, nipo kwimba mwanza, nahitaji kuhamia mbeya ni mwalimu wa sekondari, nataka niungane na familia yangu. Aliye tayari naomba tuwasiliane pm. Nashukuru.
 
njoo korogwe vijijini nije iringa vijijini au iringa mjini au wilaya ya mufindi
kwa mawasiliano:
0752737507
 
Njoo bukoba,mwal aje shinyanga,manyara au simiyu,idara sec,kama uko tayari nicheki kwa 0769027920\0656803210
 
Mwl yupo Kagera idara msingi anatafuta wa Kubadilishana na walimu mikoa ya
Tabora
Rukwa
Mbeya
Njombe
Iringa
Morogoro
Dodoma
Pwani
Dar
0689976850
Kama waweza kwenda Tukuyu nipm nitakuunganisha na mtu yupo huko anataka arudi kagera
 
Back
Top Bottom