WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
kwa aliyeko Mwanza Jiji anayehitaji kuja Tanga Shule ya msingi Makorora,Ani PM tupeane maelekezo.Ahsante
 
Wakubadilishana nae aje mafinga Mufindi Iringa niende mbeya,mkoa wa mbeya...idara msingi.0759795604
 
natafuta mwalimu anaetaka kuhama mwanza nyamagana au ilemela kwenda sehemu yeyote atakayo awe Ni WA primary au sekondary nimeelekezwa kufanya hivyo na maafisa husika ili nafasi ipatikane. Dismas 0766274935
 
Samahani ndugu zangu! Natafuta mwalimu wa idara ya msingi au sekondari aliopo katika Halmashauri ya nyamagana mwanza na anapenda kuhamia mkoa au wilaya yoyote. Naomba tuwasiliane kwa namba 0766274935
 
Njoo kigoma nije mwanza wilaya magu, sengerema, nyamagana, ilemela
 
Wa kuja tanga handeni niende pwani au dar es salaam idara ya sec masomo sayansi 0738253942
 
Back
Top Bottom