WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
mimi npo dodoma nataka kuhamia Iringa 0782419833 tutaftane
 
Mbogolo acha kutusi makabila ya wenzio uliza mhazn mkuu wa jesh tz ni nan kama co mmatengo, chezea wamatengo ww!!!Kaka mi nakushaur uache kazi tu!!

Ndugu, umenivunja mbavu!! Loo!
Sasa mwenzio aache kazi na familia yake itaishi vipi? mwoonee huruma bana...
 
Ndio unaweza kuhama bila tsd no kwa kuwa tsd no inapatikana katika halmashauri husika hivyo unaweza kuthibitishwa hukohuko unakohamia
 
Mwalimu idara ya sekondari, anayetaka kuja mbeya halmashauri ya Rungwe/Busokelo, niende tanga mjini/korogwe/muheza au Dodoma mjini. tuwasiliane hapa 0683436242/0765582366
 
Mimi mwalimu wa sekondari niko wilayani tunduru- ruvuma natafuta mwalimu wa sekondari wa kubalishana nae kituo cha kazi. awe anatoka mbinga, songea, njombe morogoro au mbeya. kwa mawasiliano zaidi tumia 0682136570.

ualim level gann???
 
Mwalimu idara ya sekondari, anayetaka kuja mbeya halmashauri ya Rungwe/Busokelo, niende tanga mjini/korogwe/muheza au Dodoma mjini. tuwasiliane hapa 0683436242/0765582366

Njoo Singida Manispaa Mi Nije Rungwe
 
Mimi mwalimu wa sekondari nataka kubadilishana kutoka Ileje Mbeya kwenda Geita au Mpanda. Kwa anayetaka tuwasiliane 0764 074642.
 
Mimi nipo temeke msingi nauza nafasi kwa mwalimu yeyote kutoka mbeya mjini aje temeke dar.Tofauti na hapo bora ukapiga kimya.
 
Back
Top Bottom