WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Mimi nipo sumbawanga ,ningependa kuwa karibu na nyumbani mtibwa moro vp si unaweza? si sumbawanga imepakana na mbozi tu hapa
 
Nipo sumbawanga hapa ningependelea nibadilishane na aliyepo Morogoro,Pwani, Tanga, au Lindi
 
Mwalimu wa primaru au primary? any way umeeleweka mkuu ngoja wahusika waje.
 
kwa heading yako hiyo huwezi kumpata hapa Tanganyika, labda jaribu nchi nyingine
 
Wewe ulieleta ndio mwalimu au umetumwa na mwalimu?
Maana heading tu inatosha
 
dau imeongezeka kidogo wadau ...
Laki 2.5 + 6months rent..
 
Mimi nipo sumbawanga ,ningependa kuwa karibu na nyumbani mtibwa moro vp si unaweza? si sumbawanga imepakana na mbozi tu hapa

Upo mitaa gan mkuu?, chanji, bangwe, majengo, katandala, kantalamba, kizwite, or where!
 
Hivi huko kasumba ya kuwanga c bado wanatumia ule usafiri wa ungo bus luxury kwa saaaaaana?
 
Mimi ni mwalimu
ninae fundisha wilayani kilosa mkoani morogoro natafuta mtu anaye toka
wilayani mbozi mkoani mbeya.no 0757021255

sasa wewe ndio hueleweki kabisaaa,wenzako wengne wanatafuta walimu wenzao wa kubadilishana vituo vya kazi,eti wewe unatafuta "mtu" tu,yaani hata makondakta wa malori?
anyway,umesema upo primary?
 
nadhan alilenga kubonyeza Y na sio U, coz kwenye kibodi zpo karbu(T,Y,U), so 2cjudge sana, as long as 2meelewa.
 
Natafuta mwalimu wa kubadilisha kituo cha kazi sekondari level ya shahada niko tunduru ruvuma nataka wenda wilaya yeyote mbeya nuwasiliane kwa namba 0755806477
 
pole bwana ni muda mrefu nakuona humu ukihangaika....
Natafuta mwalimu wa kubadilisha kituo cha kazi sekondari level ya shahada niko tunduru ruvuma nataka wenda wilaya yeyote mbeya nuwasiliane kwa namba 0755806477
 
Back
Top Bottom