Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Naona unajaribu kudivert ule moto tuliokupelekea kwenye ule uzi wako wa kutamani kuwa jike shupaNakereka kwasababu shida zetu zinatuafect mpaka sisi ambao sio walimu, wengi ninaowadai ni walimu na uwezo wa kulipa Hawana
Unabishana na juma lukoleHalafu mkuu wewe hao walimu unaosema wana shida ni wa wapi?
Mbona mimi na wenzangu ninaowajua tuna maisha fresh kabisa? Tuna maisha yanayoridhisha kabisa.
Sorry ni "shida zenu""Shida zetu ". Si umeona inamaanisha na wewe ukiwemo.
Mnapewa haki zenu? Yani walimu ahsee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu mkuu wewe hao walimu unaosema wana shida ni wa wapi?
Mbona mimi na wenzangu ninaowajua tuna maisha fresh kabisa? Tuna maisha yanayoridhisha kabisa.
Typing errorUkiwa muongo uwe na kumbukumbu.
We umeshaandamana ktk lipi, we haki zako zote unapata?Kwanini uwe muoga kwenye kudai haki zako? Ivi unajua uoga unafedhehesha zaidi ya umasikini. Basi niwaambie tu mimi nitawadharau nasitawasalimia mpaka mtakapoandamana kudai haki zenu
Walimu wengi wana miaka zaidi ya kumi kazini ila wakiomba uhamisho hawapewi na vigezo wanavyo, uhamisho wa kubadilisha pia ni mbinde majina yanatoka ila vibali havitoki, una Miaka kumi na mbili ila umepanda daraja Mara moja tu, pesa yako ya kujikimu mpaka Leo hujamaliziwa unapewa nusu nusu, mshahara wako wa kwanza mpaka Leo hujalipwa unadai malimbikizo hata mfuko wa shangazi kaja unajaa, mnakaa kwenye magofu, Mnaishi Kwa kutukanwa, mnapigwa biti na mkuu wa shule mnapwaya, Mnaishi Kwa huzuni kama yatima, mna madeni yasiyoisha, mishahara yenu niyamiaka kumi nyuma Dunia ya sasa kupewa laki tano ni matusi, hamna posho yoyote, hata kununua pikipiki tu mpaka ukope maana kusave million Tatu na Familia uliyonayo haiwezekani.
Walimu walimu please Mei mosi nataka muandamane, nataka walimu mdai haki zenu. Vinginevyo nitawadharau mpaka kufa mmekuwa waoga kama ngiri jamani.
Halafu pendaneni muwe kitu kimoja hakuna mapinduzi bila umoja. Mkuu wa shule akileta ukuda mpigeni spana za kutosha kwenye vikao vyenu mpaka ajihisi kajinyea
Acheni woga hakuna wakuwakomboa zaidi ya kujikomboa nyinyi wenyewe, lazima ifike wakati mseme enough is enough
Acha hizo Ticha.Sorry ni "shida zenu"
Haki za nini ?Mnapewa haki zenu? Yani walimu ahsee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AahhaaaaUnabishana na juma lukole
Nimesema siwezi kuwasaidia mpaka wao watakapondamanaMwalimu,mwalimu,mwalimu..
Hata baba wa TAIFA alikuwaa mwalimu...
Unawasaidiajee ww km ww..
Mimi nimejiajiriWe umeshaandamana ktk lipi, we haki zako zote unapata?
Anajaribu kudivert ule upepo wa yeye kuwa jike shupaAcha hizo Ticha.
Allowance JeHaki za nini ?
Tunalipwa mshahara kwa wakati. Tukitaka mkopo tunapata. Yaani wafanyakazi wa taasisi nyingine na sisi hamna tofauti sasa haki gani tena?
Mshahara unatosha kuendesha maisha. Na hapa nataka nikasome Master's Degree soon.
Hatuuhitaji msaada wako,we pambana kuishi like ndani mwili wa kiumeNimesema siwezi kuwasaidia mpaka wao watakapondamana
Kwenye nini!!?Mimi nimejiajiri
Ticha mimi napata kila kitu.Allowance Je