Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Halafu mkuu wewe hao walimu unaosema wana shida ni wa wapi?
Mbona mimi na wenzangu ninaowajua tuna maisha fresh kabisa? Tuna maisha yanayoridhisha kabisa.
Mnapewa haki zenu? Yani walimu ahsee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We umeshaandamana ktk lipi, we haki zako zote unapata?
 
Usituchoshe maana sisi tunaishi Kwa uzalendo Kwa kufuata ideology ya mwalimu Nyerere. Kama Kuna mwalimu kaja kutafuta utajiri kupitia kwenye uwalimu basi nashauri aondoke hayupo sehemu sahihi

Mbona unatunanga sana kwani vipi weweeee hebu tuache haloooo. Walimu wote tupo pamoja na serikali maana bila mama Samia mimi watoto wangu hawawezi kula kwasababu yeye ndio ananipa mshahara. Huwezi mpangia boss wako kiasi gani cha pesa akulipe

Kwa mwalimu ambae anaona anaonewa aondoke sisi hatuna shida na utajiri. Kama unaona laki tano ndogo jaribu kumpa ambae hana kazi kama ataona ndogo
 
Mnapewa haki zenu? Yani walimu ahsee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki za nini ?
Tunalipwa mshahara kwa wakati. Tukitaka mkopo tunapata. Yaani wafanyakazi wa taasisi nyingine na sisi hamna tofauti sasa haki gani tena?

Mshahara unatosha kuendesha maisha. Na hapa nataka nikasome Master's Degree soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…