Hawa nao wana wakosesha wananchi haki zao za kiongozi siku ya uchaguzi acha nao wakose haki yao tu. Unacho tenda ndicho unacho lipwa.Mara nyingi wakidai haki zao wanaambiwa wana fujo, kwann mtu akidai chake au kukataa maagizo haramu mnamwita mchokozi, anafanya vurugu, sio mzalendo mnapigisha barua za kutosha na vitisho juu kwani akipewa haki zake Kuna shida
Mkuu sio walimu wote wanashiriki, tuombe wajitambueHawa nao wana wakosesha wananchi haki zao za kiongozi siku ya uchaguzi acha nao wakose haki yao tu. Unacho tenda ndicho unacho lipwa.
Asante mkuu [emoji120]Hunalolote unajifanya unauchungu na walimu
Wamekubann?🤒Asante mkuu [emoji120]
BROWN suger / my baby mama nawe vile vile Kwa kupigwa ban hujambo,nini Siri ya mafanikioWamekubann?🤒
Zikija tuzo za ban hakika hatukosi hela ya Kula kpnz changu🤣🤣🤣Mdomo uliponza kichwa
🤣🤣🤣Niache bhanaZikija tuzo za ban hakika hatukosi hela ya Kula kpnz changu
Oya baharia ndo hausomi post zangu au unapoteza kiainaNi laana Kwa tamaduni zetu za kiafrika, hata mm napinga ushoga
Yeye mwwnyewe ni mwalimuMkuu mpwayungu village unatukamia sana walimu. Can't you give us a break? Katika nyuzi zako 100, nyuzi 99.99 huwa unatuchamba sisi walimu. Tulikokosea nini lakini? Tusamehe basi ndugu yangu japo kwa muda.
Inategemeana na kiwango Cha elimu pia muda aliokaa mtu kaziniHivi mshahara wa mwalimu Ni sh ngp?
Maana mayowe yamekuwa mengi mno.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
TichaaaaaaaaaNi laana Kwa tamaduni zetu za kiafrika, hata mm napinga ushoga
Naona umekula umeme. Pole yako.Nawapa mbinu za mapambano, msikubali mwalimu mwenzenu aonewe pingeni Kwa nguvu zote. Kumekuwa na tabia ya watendaji wa halmashauri, wakuu wa shule, afisa elimu Kata, madiwani na viongozi wa tamisemi, wizara ya elimu kuwafokea na kuwaonea walimu.
Mara nyingi wakidai haki zao wanaambiwa wana fujo, kwann mtu akidai chake au kukataa maagizo haramu mnamwita mchokozi, anafanya vurugu, sio mzalendo mnapigisha barua za kutosha na vitisho juu kwani akipewa haki zake kuna shida.