Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Wanajitutumua wa maisha mazuri ikitokea kazi ya muda wanajazana hukoKama walimu hawana shida, kukosa kujiamini, Njaa, uoga n.k tangaza kazi ya shilingj elf 20 kwa siku kama wote hawataacha kazi ya kufundisha waje kuomba kazi..
Nimewah kusikitika sana, kuna kipindi fulani Mwalimu mmoja (nikiwa taasisi fulani ya kifedha) alikuja kukopa laki 7 ili aende Kuzika kwao....yaani Mzee anakopa laki 7 akatwe mshahara miaka miwili ili akazike ndugu yake, niliumia sana. Kuangalia slip yake ana madeni karibu bank 3 na mshahara umebaki 39% tu nikamwambia atafte hyo pesa kwa mtu na sio Bank.
Inaingiaje akilini Mtu huyu hata Nauli ya kwenda kwao hana?
Ubarikiwe sana madam/sirAlafu mnashau tunatofautiana fikra walimu wanafanya kazi mazingira magumu lakin haimaanishi uishi maisha magumu inabid upambane ujenge maisha yako Kwa level unayotaka hapo ndo tunajisahau sana mtuseme sana lkn tumieni lugha nzuri pia mtushauri namna ya kujikwamua tuishi maisha ya maana sio matusi matusi yasiyo na faida kulinganisha na kada zingine Haina maana na Hailet mabadiliko
Wapi wewe,Nenda zako labda umetoboa masikio...Nimetoboa,
Kwenye sensa mpaka wakawa wanahongaWanajitutumua wa maisha mazuri ikitokea kazi ya muda wanajazana huko
Uhuuhuhuhu, mkuu ulidumu miaka mingapi, but hongeraNilikuwa mwalimu pale Mawe Matatu, Misungwi. Nikaona ualimu na walimu ni mbulura, nikaacha.
Usituchoshe maana sisi tunaishi Kwa uzalendo Kwa kufuata ideology ya mwalimu nyerere. Kama Kuna mwalimu kaja kutafuta utajiri kupitia kwenye uwalimu basi nashauri aondoke hayupo sehemu sahihi
Mbona unatunanga sana kwani vipi weweeee ebu tuache haloooo. Walimu wote tupo pamoja na serikali maana bila mama Samia mimi watoto wangu hawawez kula kwasababu yeye ndoananipa mshahara. Huwezi mpangia boss wako kiasi gani cha pesa akulipe
Kwa mwalimu ambae anaona anaonewa aondoke sisi hatuna shida na utajiri. Kama unaona laki tano ndogo jaribu kumpa ambae hana kazi kama ataona ndogo
AahaaaaaWapi wewe,Nenda zako labda umetoboa masikio...
Wanaenda chooni na kubadilisha rangi ya mavi.Kazi ni kazi Cha muhimu watoto wanaenda chooni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kweli mngekuwa na Mshahara mzuri msingetolea macho mambo ya sensa za 30k kwa siku.
Tumesikia kuna vijana wameuana huko Geita, kisa sjui cheo gani labda kuwa second master....
Nje ya mshahara hakuna allowance yoyote, unaishi Dodoma, mara unapangiwa ileje vijijini kufika shuleni unavuka mto na mtumbwi, Nanasi utakula siku mshahara ukitoka, unaona mwalimu katoka mjini kabeba matunda sasa.
Yaani ishafikia hatua mwalimu anaonekana tu kwa macho hata kabla hujamuuliza.
Headmaster ni Mungu mtu akiongea wengine wanatetemeka..
Mnakosa exposure kiasi kwamba gari ikiingia eneo la shule watu wanaanza kutetemeka....wanawaogopa watu wa halmashauri kama Miungu yao.
CWT inawanyonya kama kupe na wapo tu.
Mwalimu ukimwambia Nje ya ualimu anaweza akafanya kazi nyingine anakwambia "Inawezekanaje"? Yeye aanachojua ni kufundisha tu..
Kuna mahali mpywayungu anawagusa na mnaujua ukweli
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji23][emoji23]Nilikuwa mwalimu pale Mawe Matatu, Misungwi. Nikaona ualimu na walimu ni mbulura, nikaacha.
Itakuwa walimu walikula ndogo yakeKifupi hueleweki suala la madai na uhamisho kila kada wanadai ila umekomaa na walimu tu
Watumishi karibu wote wapo hivyo,mshahara tunapata,inabaki ni akili ya mtu mwenyewe kujiongezaWalimu wanahonga ili wapate kazi ya siku 20 ya Kutenga maeneo ya makazi kweli?
Mimi sisemi Mpwayungu anatumia Lugha nzuri lakini nasikitika napoona walimu wanajitutumua ilhali wanajua kabisa mishahara yao huwa haitoboi siku 10 baada ya kupokea.
Wapo waliosoma ovyo ovyo masters kwa mkumbo na wamerudi mashuleni wakaomba recategorization wakanyimwa...wapo wanapokea hzo laki 6 na masters zao...nna cases nyingi za walimu ila wanapaswa wajitambue
Mkuu mpwayungu village nimegundua humu ndani wengi wanapenda kuwa wanawake mentality ila wanajifanya kukupondeaAahaaaaa
mpwayungu village ndo ameyatoboa ya kwake anataka kuyavalisha heleni kama anavyovaa Kalpana
Ukweli upo,lakin mbona anashindwa ku acknowledge wale waliotusua maisha!!?Kwenye huu uzi nimeona kitu cha ajabu sana yaani walimu wanavyojitutumua kumpinga mleta mada as if yaliyo andikwa hapo juu kuhusu wao sio kweli na wao wana maisha safi tu
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Kwenye huu uzi nimeona kitu cha ajabu sana yaani walimu wanavyojitutumua kumpinga mleta mada as if yaliyo andikwa hapo juu kuhusu wao sio kweli na wao wana maisha safi tu
Mmojawapo akiwa ni wewe,don't self project your fantasies on other people broMkuu mpwayungu village nimegundua humu ndani wengi wanapenda kuwa wanawake mentality ila wanajifanya kukupondea
Ningekua ni mimi napenda ningeshasema,halafu kama huwezi kiingereza nibora uandike kiswahili tu,Mmojawapo akiwa ni wewe,don't self project your fantasies on other people bro
Sasa sahihisha hiyo sentensi,twende neno Kwa neno:Ningekua ni mimi napenda ningeshasema,halafu kama huwezi kiingereza nibora uandike kiswahili tu,
Kama watoto wetu mnawafundisha kiingereza hiki ulicho taypu hapa!!!! Mnaangamiza taifa la kesho