Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Kiukweli katika maisha yangu sijawahi kuona mwanafunzi aliyefaulu division one ama two iwe O' level ama advance then akachagua kwenda ualimu.

Wote ni wale waliofeli kwenda course za ndoto zao wakaona hawana namna zaidi ya kwenda ualimu kwakuwa ndo fani inayochukua kilaza yeyote bila ubaguzi.

Huu ndo ukweli sio kwamba tunawachukia walimu hapana.
Wengi ni wale wa four na zero
 
Ukweli mtupu, wote niwale waliokuwaga vilaza, tulikuwa tunawaburuza class wanashika mkia
Last week nilienda shuleni kwa dogo baada ya kupitia mitihani yake nikagundua amekoseshwa swali ambalo lilikuwa linauliza idadi ya mikoa ya Tz bara.

Dogo alipata jibu sahihi lakini mwalimu alimkosesha. Nilipofika nikamuuliza kwanini amemkosesha wakati jibu ndo lenyewe lakini akang'ang'ana kwamba jibu sio sahihi.

Kiukweli nilihuzunika mno swali rahisi kama lile mwalimu hakuwa aware nalo sasa vipi kuhusu maswali magumu.

Alitokea mwalimu mwingine ndo akaniunga mkono kwamba jibu ni sahihi ndo akarekebisha.

Ni maswali mengi huwa nikikagua nakuta wamewakosesha sometimes nawapigia simu kuwaambia waangalie vizuri swali fulani na wanafanya hivyo.

Sasa mwalimu kama huyu ndo anafanya taaluma idharaulike.
 
Hii kada unatakiwa uwe na akili kama za nguchiro ndo unaweza kudumu hata miaka mitano , mwenye akili timamu hawezi fanya hii kazi zaidi ya mwaka
Mkuu chukua pepsi utamkuta manka mwambie akupe iliyoganda [emoji23]
 
I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Kuwa na connection na hawa walimu ni kujitia nuksi tu na kuleta umaskini ndani ya familia na ukoo...mimi sitakagi mazoea NAO kabisa
 
I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Ungemuona Dr wa akili pengine ingekusaidia mara hii
 
Kuwa na connection na hawa walimu ni kujitia nuksi tu na kuleta umaskini ndani ya familia na ukoo...mimi sitakagi mazoea NAO kabisa
Hata wewe hutakagi mazoea nao [emoji23][emoji23][emoji23], mm nimeblock wote maana kila simu nikipigiwa za hawa kuku nikuomba pesa tu wana njaa haloo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Last week nilienda shuleni kwa dogo baada ya kupitia mitihani yake nikagundua amekoseshwa swali ambalo lilikuwa linauliza idadi ya mikoa ya Tz bara.

Dogo alipata jibu sahihi lakini mwalimu alimkosesha. Nilipofika nikamuuliza kwanini amemkosesha wakati jibu ndo lenyewe lakini akang'ang'ana kwamba jibu sio sahihi.

Kiukweli nilihuzunika mno swali rahisi kama lile mwalimu hakuwa aware nalo sasa vipi kuhusu maswali magumu.

Alitokea mwalimu mwingine ndo akaniunga mkono kwamba jibu ni sahihi ndo akarekebisha.

Ni maswali mengi huwa nikikagua nakuta wamewakosesha sometimes nawapigia simu kuwaambia waangalie vizuri swali fulani na wanafanya hivyo.

Sasa mwalimu kama huyu ndo anafanya taaluma idharaulike.
Walimu wote vilaza mkuu, mtihani wanatunga wao ila ukiwaambia wafanye hata wao wanafeli sema tu kinachowasaidia wanakuwa na marking scheme tena wanataka definition iwe Ile Ile usiweke nyingine vinginevyo unachezea mkasi
 
images - 2023-03-27T124238.926.jpeg


images - 2023-03-27T124233.056.jpeg
gumba-clip.jpg


Hii kada inahtaji maombi , hii kada ni allowance za watu
 
Nasikia kuwa pesa ya likizo mwalimu huwekewa kwenye malimbikizo yake
Hii nilimsikia mwalimu mwenyewe, nilishangaa sana.
Yaani haiwezekani wakalipwa kabla ya kuanza likizo kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma.
 
Nasikia kuwa pesa ya likizo mwalimu huwekewa kwenye malimbikizo yake
Hii nilimsikia mwalimu mwenyewe, nilishangaa sana.
Yaani haiwezekani wakalipwa kabla ya kuanza likizo kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma.
Mkuu hawa watu kama nguruwe
 
Walimu kama hoja za Mpwayungu ni za kweli na nyie endeleeni kutoa malalamiko kwa mamlaka husika na sio kupingana na Mpwayungu. Kiukweli mnastahili heshima kubwa kuliko mliyonayo.

Famchezo nini 😎
Kufundisha SI jambo dogo,
Respect kwa walimu wote,
Standing Allowance for the teachers 💪
 
Back
Top Bottom