Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Ni kweli hii kada ina changamoto nyingi mno kiasi kwamba hata mwalimu mwenyewe anajuta Kwa Nini alisomea ualimu

ila namna unavyopresent MADA zako, it's unfair kabisa.


Hakuna mtu anayependa afanye kazi isiyoheshimika au isiyo na maslahi, ni changamoto TU za kimaisha ambazo zinawalazimisha watu wafanye


Hadi unamuona mtu amekubali kufanya kazi hiyo ina maana asingefanya Hivyo may be mambo kwake yangekuwa magumu zaidi

Jitahidi kutumia lugha ya staha na yenye ushawishi.


MWISHO

Walimu pia tuna haja ya kubadilika, inabidi tuwe na misimamo

Haiwezekani diwani/mwalimu mkuu aje kukutetemesha,


Pia Kuna haja ya kujifunza au kufanya shughuli nyingine tofauti na ualimu na zikisimama acha kabisa ualimu.
 
Ni kweli hii kada ina changamoto nyingi mno kiasi kwamba hata mwalimu mwenyewe anajuta Kwa Nini alisomea ualimu

ila namna unavyopresent MADA zako, it's unfair kabisa.


Hakuna mtu anayependa afanye kazi isiyoheshimika au isiyo na maslahi, ni changamoto TU za kimaisha ambazo zinawalazimisha watu wafanye


Hadi unamuona mtu amekubali kufanya kazi hiyo ina maana asingefanya Hivyo may be mambo kwake yangekuwa magumu zaidi

Jitahidi kutumia lugha ya staha na yenye ushawishi.


MWISHO

Walimu pia tuna haja ya kubadilika, inabidi tuwe na misimamo

Haiwezekani diwani/mwalimu mkuu aje kukutetemesha,


Pia Kuna haja ya kujifunza au kufanya shughuli nyingine tofauti na ualimu na zikisimama acha kabisa ualimu.
Hapo mwisho umeongea point kubwa sana mkuu, walimu waamke kumekucha
 
I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Walimu ni mazezeta yaliyo changamka
 
Upo sahihi, na unaijua kada hii vizuri sana. Walimu wanaonewa sana na hivi ajira zimekuwa ngumu. Ni shida tupu, hawana mtetezi. Asilimia kubwa hawaipendi kazi, ni vile tu hawana jinsi. Hata wakijitokeza kutetea haki yao, watapigwa ban ya mshahara. Wengi hawana vyanzo vingine vya mapato, wanabaki kuwa kondoo, so sad! Ushirikiano 0%, unafiki, fitina, na kusalitiana-100%.
 
Kuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara

Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
 
Back
Top Bottom