Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Nashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.

Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.

Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance
Hakuna binadamu atakayeacha kukaa peponi akakimbilia motoni.

Namaanisha mtu atoke sheria/udaktari aende ualimu? Big No.
 
Nashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.

Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.

Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance
Walimu ni makada wa CCM
 
Sasa kama walimu wenyewe ndo kama wewe basi ni haki Mpwayungu village kuwananga.

Unaandika tegeta badala ya Tegeta.

Sa ivi badala ya sasahivi.

Hovyo kabisa. Sijui hizo shule za kata mnafundishwa ujinga.
Malofa haya
 
Nashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.

Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.

Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance
Yupo ambae kwa sasa ni mkuu wa shule ya secondari moja wilayani Temeke niliwahi kufanya nae kazi TAZARA baadae akaamua kuacha na kujiunga na uwalimu. Mpaka sasa yupo na sio kule TAZARA alikosea hapana aliamua tu toka moyoni
 
Yupo ambae kwa sasa ni mkuu wa shule ya secondari moja wilayani Temeke niliwahi kufanya nae kazi TAZARA baadae akaamua kuacha na kujiunga na uwalimu. Mpaka sasa yupo na sio kule TAZARA alikosea hapana aliamua tu toka moyoni
Nitaamini vp, weka jina lake na namba yake ya simu tu muulize
 
Mara ohhohhh ni mdogo wangu leo umekuja kikiri
Wacha uwongo wewe kwani ulisema mdogo wako alipata nafasi
Tena nyie walimu wa displin mnakuwaga na viherehere sana mixer umbea na kujiona shule za baba yenu
 
mpaka sasa
Mpwayungu village 7 - 0 Walimu
game half time
Refa pyeeeeeeeeeee kipyenga


[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ushindi upi!?? Wa kukosa ualimu!?? Au kuwatuna walimu wetu!?? Hana lolote huyo ni failure!!!
JamiiForums-575292719.jpg
 
Nashukuru Mungu aliniokoa ni kabadili fani nikaenda kusoma sheria na mpaka Sasa natumikia shirika lisilo la kiserikal wananipa mshahara mnono bila hivyo ningekuwa mnuka jasho tu
Mkuu hiyo sheria umesoma miaka miwili au? Maana wakati unauliza masuala ya chuo ni 2021 mpaka sasa ni miaka miwili... So, hiyo sheria umeisoma kwa miaka mingap ukamaliza na sasa tayari watumikia shirika?
 
Umemaliza kila kitu mjomba [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanalaumu unavowaambia kila siku me sioni kosa sasa km watu wenyewe mna matukio ya aibu kila siku kwann msikumbushwe kila siku sasa,hamuelew km mmekatwa vichwa fgs

ACHEN ACHENNN

Tena nakumbuka kwny sensa,walimu wote waliojiandikisha walitolewa kabsa kwa aibu mwanza uko

Walimu kila siku mnahangaika tu hamtulii kabisa,na serikali haiwaach mkapumua inawatumia kwel kweli yaan
 
Back
Top Bottom